Waziri Mwigulu Nchemba aache hasira! kujibu maswali ya wabunge ni wajibu sio fadhila

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
WAZIRI MWIGULU NCHEMBA AACHE HASIRA! KUJIBU MASWALI YA WABUNGE NI WAJIBU SIO FADHILA!

1) Ohooo...!! Nadhani hiyo statement ya Dkt. Mwigulu Nchemba ("Daktari wa Uchumi" na Waziri wa Fedha) kuhusu "Honorary Degrees" mbona haijakaa vizuri, hasa ukizingatia hata Rais Samia Suluhu Hassan juzi tu katunukiwa Digrii ya Heshima na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

2) Tafadhali rejea hiyo video clip yenye urefu wa dakika 6:08 ya Waziri Mwigulu Nchemba akimwaga povu Bungeni.

3) Ningemshauri Waziri Mwigulu ajitahidi kuwa anajibu Maswali ya Wabunge (na hata kuwaelimisha) bila:

a) Kufoka.
b) Hasira.
c) Ukali.
d) Kiburi.
e) Hamaki au mihemko.
f) Kejeli (na matusi)
g) Majigambo.

4) SIFA mojawapo ya Msomi na Mtaalam mzuri ni unyenyekevu na kupenda kutumia nguvu za hoja badala hoja za nguvu.

5) HAIPENDEZI kabisa Waziri wa Fedha kila siku kujigamba:

a) "Mimi nimesoma sana!"
b) "Mimi Daktari wa Uchumi, nikisema huo ndio ukweli!"
c) "Hii sio Honorary Doctor, nimeingia darasani!"
d) "Mheshimiwa Spika hatuwezi kupoteza muda wa Bunge kuelimisha Watu wasiotaka kuelewa!"
e) Na kadhalika.

6) Narudia!

a) Kwa upendo mkubwa, heshima na taadhima, namshauri msomi na mtaalam mwenzetu Mwigulu Nchemba ajitathmini na kujirekebisha.
b) Naamini angependa kuziangalia hizi video clip za matamshi yake Bungeni (au anapohojiwa kwenye runinga), mwenyewe ataona tatizo ni nini.
c) Na asipoona tatizo, basi tatizo linalomsumbua Mheshimiwa wetu litakuwa kubwa zaidi!
d) Hakika haipendezi kila siku watu wote (namaanisha wengi) wakawa siku zote wanakujadili wewe tu, tena kwa tatizo lilelile. Mfano: Mpambano wake na Spika Tulia Ackson Bungeni kuhusu Hesabu za Asilimia za Darasa la Sita! Au Mahojiano ya ITV alipowafurumusha Watanzania wanaolalamikia tozo wahamie Burundi!

7) MUNGU IBARIKI TANZANIA!

BJC. DSM. 07.02.2023. 1412hrs.
 
Ukiona mtu anajitetea kwa kujiita mara Msomi, Mara anaweka na dharau na kiburi, Ujue Kichwani hamna kitu, au anafanya makusudi kwenye kuwakereni ili msiendelee kuhoji facts muhamie kwenye haiba yake namna anacyowajibu, hivyo anawatoa kwenye reli msiulize vitu vya msingi muanze kumu attack yeye maana kuna vitu anaficha au hataki vijadilike au kuhojiwa.
Na ndivyo anachokifanya Mwigulu Nchema aidha ana asili ya Upumbavu ndani yake (na upumbau si tusi bali ni kipaji kama ilivyo ufupi na urefu)
AU anawahamisha kwa makusudi kwenye hoja husika na maswali yenu maana hataki mumuulize kuna mambo yamejificha.
 
Huyu hana muda mrefu hiyo wizara,mganga wake afanye kazi ya ziada kumnusuru
 
WAZIRI MWIGULU NCHEMBA AACHE HASIRA! KUJIBU MASWALI YA WABUNGE NI WAJIBU SIO FADHILA!

1) Ohooo...!! Nadhani hiyo statement ya Dkt. Mwigulu Nchemba ("Daktari wa Uchumi" na Waziri wa Fedha) kuhusu "Honorary Degrees" mbona haijakaa vizuri, hasa ukizingatia hata Rais Samia Suluhu Hassan juzi tu katunukiwa Digrii ya Heshima na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

2) Tafadhali rejea hiyo video clip yenye urefu wa dakika 6:08 ya Waziri Mwigulu Nchemba akimwaga povu Bungeni.

3) Ningemshauri Waziri Mwigulu ajitahidi kuwa anajibu Maswali ya Wabunge (na hata kuwaelimisha) bila:

a) Kufoka.
b) Hasira.
c) Ukali.
d) Kiburi.
e) Hamaki au mihemko.
f) Kejeli (na matusi)
g) Majigambo.

4) SIFA mojawapo ya Msomi na Mtaalam mzuri ni unyenyekevu na kupenda kutumia nguvu za hoja badala hoja za nguvu.

5) HAIPENDEZI kabisa Waziri wa Fedha kila siku kujigamba:

a) "Mimi nimesoma sana!"
b) "Mimi Daktari wa Uchumi, nikisema huo ndio ukweli!"
c) "Hii sio Honorary Doctor, nimeingia darasani!"
d) "Mheshimiwa Spika hatuwezi kupoteza muda wa Bunge kuelimisha Watu wasiotaka kuelewa!"
e) Na kadhalika.

6) Narudia!

a) Kwa upendo mkubwa, heshima na taadhima, namshauri msomi na mtaalam mwenzetu Mwigulu Nchemba ajitathmini na kujirekebisha.
b) Naamini angependa kuziangalia hizi video clip za matamshi yake Bungeni (au anapohojiwa kwenye runinga), mwenyewe ataona tatizo ni nini.
c) Na asipoona tatizo, basi tatizo linalomsumbua Mheshimiwa wetu litakuwa kubwa zaidi!
d) Hakika haipendezi kila siku watu wote (namaanisha wengi) wakawa siku zote wanakujadili wewe tu, tena kwa tatizo lilelile. Mfano: Mpambano wake na Spika Tulia Ackson Bungeni kuhusu Hesabu za Asilimia za Darasa la Sita! Au Mahojiano ya ITV alipowafurumusha Watanzania wanaolalamikia tozo wahamie Burundi!

7) MUNGU IBARIKI TANZANIA!

BJC. DSM. 07.02.2023. 1412hrs.
Mwigulu Nchemba ni muhuni tu, kama alivyo DJ DEOGRATIUS nalimi kissandu
 
Yaani hakuna swali huwa anaulizwa akajibu kiutulivu, ni kuropoka tu kwa mijazba. Hawaoni mawaziri wenzie akina Mkenda!!!
 
Mwigulu anajua watanzania tushamchoka ndio maana hataki kushauriwa kama mwendazake, anajijua ni mwepesi kwenye hoja ndio maana huwa anajibu majibu ya kejeli ila muambieni ipo siku yake
 
Ukiona mtu anajitetea kwa kujiita mara Msomi, Mara anaweka na dharau na kiburi, Ujue Kichwani hamna kitu, au anafanya makusudi kwenye kuwakereni ili msiendelee kuhoji facts muhamie kwenye haiba yake namna anacyowajibu, hivyo anawatoa kwenye reli msiulize vitu vya msingi muanze kumu attack yeye maana kuna vitu anaficha au hataki vijadilike au kuhojiwa.
Na ndivyo anachokifanya Mwigulu Nchema aidha ana asili ya Upumbavu ndani yake (na upumbau si tusi bali ni kipaji kama ilivyo ufupi na urefu)
AU anawahamisha kwa makusudi kwenye hoja husika na maswali yenu maana hataki mumuulize kuna mambo yamejificha.
Ni kweli aisee, ingawa Prof. Muhongo alikuwa anatumia vijembe vya elimu yake na ni msomi kwelikweli anyejua vitu kwa uzuri kabisa na kwa hoja. Wangemtumia kwenye makinikia, angewaeleza mambo yalivyo badala yake tukaamua kumtumia bookish Palamagamba
 
Ukiona mtu anajitetea kwa kujiita mara Msomi, Mara anaweka na dharau na kiburi, Ujue Kichwani hamna kitu, au anafanya makusudi kwenye kuwakereni ili msiendelee kuhoji facts muhamie kwenye haiba yake namna anacyowajibu, hivyo anawatoa kwenye reli msiulize vitu vya msingi muanze kumu attack yeye maana kuna vitu anaficha au hataki vijadilike au kuhojiwa.
Na ndivyo anachokifanya Mwigulu Nchema aidha ana asili ya Upumbavu ndani yake (na upumbau si tusi bali ni kipaji kama ilivyo ufupi na urefu)
AU anawahamisha kwa makusudi kwenye hoja husika na maswali yenu maana hataki mumuulize kuna mambo yamejificha.
nakubaliana na wewe anafanya kusudi ili watanzania wahamishe mada
 
WAZIRI MWIGULU NCHEMBA AACHE HASIRA! KUJIBU MASWALI YA WABUNGE NI WAJIBU SIO FADHILA!

1) Ohooo...!! Nadhani hiyo statement ya Dkt. Mwigulu Nchemba ("Daktari wa Uchumi" na Waziri wa Fedha) kuhusu "Honorary Degrees" mbona haijakaa vizuri, hasa ukizingatia hata Rais Samia Suluhu Hassan juzi tu katunukiwa Digrii ya Heshima na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

2) Tafadhali rejea hiyo video clip yenye urefu wa dakika 6:08 ya Waziri Mwigulu Nchemba akimwaga povu Bungeni.

3) Ningemshauri Waziri Mwigulu ajitahidi kuwa anajibu Maswali ya Wabunge (na hata kuwaelimisha) bila:

a) Kufoka.
b) Hasira.
c) Ukali.
d) Kiburi.
e) Hamaki au mihemko.
f) Kejeli (na matusi)
g) Majigambo.

4) SIFA mojawapo ya Msomi na Mtaalam mzuri ni unyenyekevu na kupenda kutumia nguvu za hoja badala hoja za nguvu.

5) HAIPENDEZI kabisa Waziri wa Fedha kila siku kujigamba:

a) "Mimi nimesoma sana!"
b) "Mimi Daktari wa Uchumi, nikisema huo ndio ukweli!"
c) "Hii sio Honorary Doctor, nimeingia darasani!"
d) "Mheshimiwa Spika hatuwezi kupoteza muda wa Bunge kuelimisha Watu wasiotaka kuelewa!"
e) Na kadhalika.

6) Narudia!

a) Kwa upendo mkubwa, heshima na taadhima, namshauri msomi na mtaalam mwenzetu Mwigulu Nchemba ajitathmini na kujirekebisha.
b) Naamini angependa kuziangalia hizi video clip za matamshi yake Bungeni (au anapohojiwa kwenye runinga), mwenyewe ataona tatizo ni nini.
c) Na asipoona tatizo, basi tatizo linalomsumbua Mheshimiwa wetu litakuwa kubwa zaidi!
d) Hakika haipendezi kila siku watu wote (namaanisha wengi) wakawa siku zote wanakujadili wewe tu, tena kwa tatizo lilelile. Mfano: Mpambano wake na Spika Tulia Ackson Bungeni kuhusu Hesabu za Asilimia za Darasa la Sita! Au Mahojiano ya ITV alipowafurumusha Watanzania wanaolalamikia tozo wahamie Burundi!

7) MUNGU IBARIKI TANZANIA!

BJC. DSM. 07.02.2023. 1412hrs.

nilichogundua ni kuwa

viongozi wakubwa wanamwogopa sana mwigulu
 
WAZIRI MWIGULU NCHEMBA AACHE HASIRA! KUJIBU MASWALI YA WABUNGE NI WAJIBU SIO FADHILA!

1) Ohooo...!! Nadhani hiyo statement ya Dkt. Mwigulu Nchemba ("Daktari wa Uchumi" na Waziri wa Fedha) kuhusu "Honorary Degrees" mbona haijakaa vizuri, hasa ukizingatia hata Rais Samia Suluhu Hassan juzi tu katunukiwa Digrii ya Heshima na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

2) Tafadhali rejea hiyo video clip yenye urefu wa dakika 6:08 ya Waziri Mwigulu Nchemba akimwaga povu Bungeni.

3) Ningemshauri Waziri Mwigulu ajitahidi kuwa anajibu Maswali ya Wabunge (na hata kuwaelimisha) bila:

a) Kufoka.
b) Hasira.
c) Ukali.
d) Kiburi.
e) Hamaki au mihemko.
f) Kejeli (na matusi)
g) Majigambo.

4) SIFA mojawapo ya Msomi na Mtaalam mzuri ni unyenyekevu na kupenda kutumia nguvu za hoja badala hoja za nguvu.

5) HAIPENDEZI kabisa Waziri wa Fedha kila siku kujigamba:

a) "Mimi nimesoma sana!"
b) "Mimi Daktari wa Uchumi, nikisema huo ndio ukweli!"
c) "Hii sio Honorary Doctor, nimeingia darasani!"
d) "Mheshimiwa Spika hatuwezi kupoteza muda wa Bunge kuelimisha Watu wasiotaka kuelewa!"
e) Na kadhalika.

6) Narudia!

a) Kwa upendo mkubwa, heshima na taadhima, namshauri msomi na mtaalam mwenzetu Mwigulu Nchemba ajitathmini na kujirekebisha.
b) Naamini angependa kuziangalia hizi video clip za matamshi yake Bungeni (au anapohojiwa kwenye runinga), mwenyewe ataona tatizo ni nini.
c) Na asipoona tatizo, basi tatizo linalomsumbua Mheshimiwa wetu litakuwa kubwa zaidi!
d) Hakika haipendezi kila siku watu wote (namaanisha wengi) wakawa siku zote wanakujadili wewe tu, tena kwa tatizo lilelile. Mfano: Mpambano wake na Spika Tulia Ackson Bungeni kuhusu Hesabu za Asilimia za Darasa la Sita! Au Mahojiano ya ITV alipowafurumusha Watanzania wanaolalamikia tozo wahamie Burundi!

7) MUNGU IBARIKI TANZANIA!

BJC. DSM. 07.02.2023. 1412hrs.
Bunge lipi kwanza? Wangekuepo wale wa bunge la 2019 kurud nyuma angeomba poo!!
 
Back
Top Bottom