Waziri Mwigulu apendekeza sheria mpya ya Serikali kununua vitu vilivyotumika (mtumba)

Setikali pia inapendekeza manunuzi ya vitu vya mtumba ikiwemo
Vichwa vya treni
Ndege
Mabehewa
Hii ni kuonesha namna gani mfuko mkuu unachechemea au watu wamejipanga kupiga asilimia zao kwenye hayo manunuzi.

Kwa sababu uthaminishaji wa kitu cha mtumba uko un-realistic. Nadhauri muachane na huu upuuzi ambao unalitia aibu taifa leo.

NB: JINA LA MTUMBA LINAONEKANA KUWA NA LAANA NDANI YAKE
 
1694164281491.png
 
Nimeanza kuingiwa na wasiwasi na hawa wapigaji huenda hata condom huwa wanatuletea za mitumba akili mukichwa.
 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye sheria mpya ya manunuzi serikali inunue ndege, vichwa vya treni, mabehewa ya treni, meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya, na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.

Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana, ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!

Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 km!!, suti zao brand new from Italy!

Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.

Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.

Nilisha sema huu mradi wa SGR, lazima utakuja hujumiwa na wahuni hasa wenye makampuni ya malori na mabasi, ni swala lq mda na mikakati inaanza,

Yan mradi ambao unatumia matrion ya pesa leo unaanza pendekeza vitu vya hivi, kwani lazima kununua kwa Kesh, si bora tukopeshwe vipya na tulipe kidogodogo,

Matokeo yake tutakuja Shudia maajabu, tenda ya kuyatengeneza zitalamba pesa nyingi, na uendeshaji wake utasuasua , ndo itakua raha wengine waliokatika biashara ya usafirishaji
 
Mtumba ni kitu kilicho maliza muda wa matumizi
Iweje ukitumie kwenye sgr Mpya?
Basi tungekatabati relief ya zamani!!
 
Hapana, semeni kweli.

Yale mabehewa yaliagizwa na kampuni ya kihindi Iliyopewa kuendesha reli ya kati, kikwete kuwastukia na kuwatema, mabehewa yalipofika bandarini wao hawapo yakakosa mwenyewe.
Waaligiza bure ww masihi dajaal ,halafu ukome kuniqoute, ww mtetezi wa deni hatakama nchi inaelekea shimoni
 
Baada ya kusikiliza mswada na uchangiaji wa wabunge, binafsi siafiki kabisa ununuwaji wa mitumba. Tunajidharaulisha sana kama nchi.

Bogus kifungu kabisa, hicho cha mitumba. Ujinga wa hali ya juu.
Ndo mwislaam mwenzetu shekhati saa100 ndo amebariki ,tabia ya kumpinga mwislamu mwenzako umeianza lini
 
Sheria ya upigaji, ni jinsi Gani uta thaminisha kilicho tumika na kitu kingine maana kutumika kuna weza kuwa miaka mitatu lakini kilometa zikatofautiana. N.k na kina Maisha miaka mingapi baada ya hapo
Hapo ndo ujue tuna serikali ya ajabu ,halafu wanajifanya wazalendo
 
Niliwahi kuandika hivi kuhusu Mwigulu:

Unadhani Mama hauhusiki na haya mapendekezo?

Unadhani Baraza la Mawaziri halijajadili na kuridhia mapendekezo haya kabla ya kupelekwa Bungeni?
 
Unadhani Mama hauhusiki na haya mapendekezo?

Unadhani Baraza la Mawaziri halijajadili na kuridhia mapendekezo haya kabla ya kupelekwa Bungeni?
Na kwa sababu ni mwislam ndo maana huwa anajizima data ,mwigukiwa angeitwa hamza mwiguili ally kwa kusingekuwa na kasoro
 
Mnapotosha.

Hii sheria teyari ipo na inatumika. Ilitungwa zamani.

Alichopeleka Mwigulu, ni kuomba zitungwe kanuni za kusimamia hiyo sheria. Pawe na vigezo vya huo uagizaji.
 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye sheria mpya ya manunuzi serikali inunue ndege, vichwa vya treni, mabehewa ya treni, meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya, na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.

Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana, ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!

Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 km!!, suti zao brand new from Italy!

Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.

Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.

Salam comrades,

Asanten kwa mijadala critical na yenye tija kwa Nchi yetu.

Naomba kutoa ufafanuzi moja hata kama ni kwenye kichwa cha Thread.

SIJAPENDEKEZA SHERIA MPYA YA SERIKALI KUNUNUA VITU VILIVYOTUMIKA. Hii ilikwepo kwenye Sheria ya Zaman ambayo tumeiandika upya someni kifungu cha 65B na 66 cha Sheria iliyomaliza muda.

Kwenye Sheria mpya pia Sikupendekeza kuifuta, NILIPENDEKEZA KIFUNGU KIDOGO CHA KUNIWEZESHA KUTUNGA KANUNI ZA KUWEKA UTARATIBU MZURI WA KUTOKUINGIZA BIDHAA ZILIZOTUMIKA BILA KUUNDA KAMATI AU NODI YA WATAALAM KUVIANGALIA KITAALAM VITU HIVYO.

Labda ningelaumiwa kuwa nyongeza hii haitoshi au ningelaumiwa kwa kuiacha bila kuifuta 😂
 
Hapo sawa kiongozi👍👍👏👏
Salam comrades,

Asanten kwa mijadala critical na yenye tija kwa Nchi yetu.

Naomba kutoa ufafanuzi moja hata kama ni kwenye kichwa cha Thread.

SIJAPENDEKEZA SHERIA MPYA YA SERIKALI KUNUNUA VITU VILIVYOTUMIKA. Hii ilikwepo kwenye Sheria ya Zaman ambayo tumeiandika upya someni kifungu cha 65B na 66 cha Sheria iliyomaliza muda.

Kwenye Sheria mpya pia Sikupendekeza kuifuta, NILIPENDEKEZA KIFUNGU KIDOGO CHA KUNIWEZESHA KUTUNGA KANUNI ZA KUWEKA UTARATIBU MZURI WA KUTOKUINGIZA BIDHAA ZILIZOTUMIKA BILA KUUNDA KAMATI AU NODI YA WATAALAM KUVIANGALIA KITAALAM VITU HIVYO.

Labda ningelaumiwa kuwa nyongeza hii haitoshi au ningelaumiwa kwa kuiacha bila kuifuta 😂
 
Back
Top Bottom