Waziri Mwigulu apendekeza sheria mpya ya Serikali kununua vitu vilivyotumika (mtumba)

Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,755
15,236
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye sheria mpya ya manunuzi serikali inunue ndege, vichwa vya treni, mabehewa ya treni, meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya, na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.

Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana, ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!

Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 km!!, suti zao brand new from Italy!

Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.

Inasikitisha sana taifa lenye utajiri wa kutisha kutunga sheria ya kulazimisha kununua mitumba.

 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.

Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana ,ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!
Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 Km!!

Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa Taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.
 
Ningekuwa Mimi , sheria yote ya manunuzi ningeipiga chini
🔷 Serikali inaingia garama kubwa kununua magari yanayoitwa brand new kwa sheria hii mbovu wakati Kuna magari kama hayohayo used Japan yanauzwa bei kiduchu na ndio tunayoyatumia mitaani na yanadumu kuliko hayo brand new

🔷 Serikali inatumia fedha nyingi kwenye manunuzi kwa mfumo wa wazabuni , ambapo kitu hicho hicho ukikinunua kawaida ni mara tatu chini ya kununua kwa mfumo wa tender. Hawa wazabuni Wana mihuri na documents kibao lakini wanakwenda kuchukua huko huko madukani na ku supply mara tatu ya garama halisi
 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.

Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana ,ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!
We si unajua hao wabunge 95%hawakushinda kihalali bali walishindishwa na shujaa
 
Wanashangilia kwa sababu hiyo sheria itawaumiza watu wa kawaida. Wao si wataendelea kununua zile V8 VXR zao zenye 0 Km!!

Au hiyo sheria pia itaruhusu na wenyewe kununua magari mikweche kama haya ya kwetu? Maana hao watu hawajawahi kuwa na faida kwa Taifa. Ubinafsi ndiyo umewajaa.
Wao vitu vyao vyote ni vipya, hata suti ni made in Italy, brand new
 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa nguvu sana.

Yani baada ya vichwa vya treni mitumba kukosolewa na wananchi kwa nguvu sana ,ubunifu wa Mwigulu Nchemba ni kutunga sheria ya mitumba ili muache kukosoa!!!
Yule ni 🚮
 
Back
Top Bottom