johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,160
Waziri wa biashara Mh. Mwambe amesema bei ya mafuta ya kula imepanda kutokana na ongezeko la bei ya bidhaa hiyo kwenye soko la dunia.
Mwambe amesema bei kwenye soko la dunia imepanda kutokana na fakta mbalimbali kubwa ikiwa ni ugonjwa wa Corona.
Mwambe amesema kwa sasa kuna meli mbili za mafuta bandarini na uhalisia wa kupungua kwa bei kutaangaliwa baada ya mafuta hayo kupakuliwa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama
Mwambe amesema bei kwenye soko la dunia imepanda kutokana na fakta mbalimbali kubwa ikiwa ni ugonjwa wa Corona.
Mwambe amesema kwa sasa kuna meli mbili za mafuta bandarini na uhalisia wa kupungua kwa bei kutaangaliwa baada ya mafuta hayo kupakuliwa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama