Waziri Mwambe: Bei ya Mafuta ya Kula imepanda kutokana na ongezeko la bei kwenye Soko la Dunia iliyosababishwa na Corona

Kila siku tunaonyeshwa wazalishaji wa ndani mikoa ya Mbeya, Singida na jana Jenista Mhagama sijui alikuwa wapi huko kwenye kiwanda ambacho NSSF wamewekeza; wazalishaji wote wanadai shida ni zao la alizeti kuaribika kutokana na mvua nyingi zilizonyesha msimu uliopita na kupelekea upungufu wa mbegu. Kutokana na minimum production cost zao lazima bidhaa ipande it makes sense.

Huyu yeye facts zake kazitoa wapi watu wakisema waangalie trend ya bei ya mafuta ya kupikia ushahidi huo upo kweli. Alipoteuliwa wanaomjua walisema jamaa tia maji tia maji kweli; kama vile anaanza kutudhihirishia na wengine.
 
Kila siku tunaonyeshwa wazalishaji wa ndani mikoa ya Mbeya, Singida na jana Jenista Mhagama sijui alikuwa wapi huko kwenye kiwanda ambacho NSSF wamewekeza; wazalishaji wote wanadai shida ni zao la alizeti kuaribika kutokana na mvua nyingi zilizonyesha msimu uliopita na kupelekea upungufu wa mbegu. Kutokana na minimum production cost zao lazima bidhaa ipande it makes sense.

Huyu yeye facts zake kazitoa wapi watu wakisema waangalie trend ya bei ya mafuta ya kupikia ushahidi huo upo kweli. Alipoteuliwa wanaomjua walisema jamaa tia maji tia maji kweli; kama vile anaanza kutudhihirishia na wengine.
Hapo kwenye "minimum production cost zao lazima bidhaa zipande" ndio sijapaelewa!
 
Hapo kwenye "minimum production cost zao lazima bidhaa zipande" ndio sijapaelewa!
For the sake of simplicity kwenye uzalishaji kuna fixed costs na variable costs; ukijumlisha unaweza pata gharama za unit cost depending on average of number of production units planned; baada ya hapo ndio unaweka profit margin per unit.

The higher the number of units produced the lesser the cost of production per unit and probably margin of profit set.

The lesser the unit produced the situation is reversed. Kama watu walikuwa wanazalisha units 100,000 wakauza bei uliyozoea, uzalishaji unaposhuka kutokana na upungufu wa malighafi tegemea na bei ya bidhaa kuongezeka.

That is only on the factory production side, kwenye soko nako kuna swala la demand and supply ina maana bei ya malighafi pia kiwanda kitanunua kwa bei kubwa zaidi kutokana na shortage; making direct component per unit higher from previous year adding more to the cost of production.

Hakuna namna bei ya bidhaa itapanda tu.
 
For the sake of simplicity kwenye uzalishaji kuna fixed costs na variable costs; ukijumlisha unaweza pata gharama za unit cost depending on average of number of production units planned; baada ya hapo ndio unaweka profit margin per unit.

The higher the number of units produced the lesser the cost of production per unit and probably margin of profit set.

The lesser the unit produced the situation is reversed. Kama watu walikuwa wanazalisha units 100,000 wakauza bei uliyozoea, uzalishaji unaposhuka kutokana na upungufu wa malighafi tegemea na bei ya bidhaa kuongezeka.

That is only on the factory production side, kwenye soko nako kuna swala la demand and supply ina maana bei ya malighafi pia kiwanda kitanunua kwa bei kubwa zaidi kutokana na shortage; making direct component per unit higher from previous year adding more to the cost of production.

Hakuna namna bei ya bidhaa itapanda tu.
Sasa inakuwaje ni Minimum cost of production?

Darasa Tafadhali!
 
Mimi huku duniani sijaona kupanda bei ya mafuta sasa sijui waziri anaongelea dunia ipi.
 
Tumefuatilia kuona kuwa mwaka jana au mwaka juzi kilimo cha alizeti kilikuwaje,hapa nazungumzia mavuno,maana hii nayo inaweza kuwa ni factor moja wapo...?
 
Waziri wa biashara Mh. Mwambe amesema bei ya mafuta ya kula imepanda kutokana na ongezeko la bei ya bidhaa hiyo kwenye soko la dunia.

Mwambe amesema bei kwenye soko la dunia imepanda kutokana na fakta mbalimbali kubwa ikiwa ni ugonjwa wa Corona.

Mwambe amesema kwa sasa kuna meli mbili za mafuta bandarini na uhalisia wa kupungua kwa bei kutaangaliwa baada ya mafuta hayo kupakuliwa.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hii ni issue kama ya sukari.. Hawa wasaidizi wa JPM sijui kawaokota wapi? Hawana huruma na Watanzania. Ati bei imepanda kidogo!!! Kutoka 2500/ kwa lita hadi 5500/ kwa lita ni kidogo kwao.. Mamba ya kishenzi kabisa. Nashauri kama hawaja jiandaa wasiwe wana toa majibu ya maudhi kwa wananchi.
 
Mimi huku duniani sijaona kupanda bei ya mafuta sasa sijui waziri anaongelea dunia ipi.
wewe uko hapo hapo sokoni, hebu tuambie, ni kweli wamachinga na makuli mnaumwa corona hapo soko la dunia ?
 
Hahaha, Tanzania hakuna Corona Sasa inapandishaje Bei ya Mafuta?

Na anadai eti Kuna Meli ya Mafuta ilishwasili bandarini tangu Desemba 10 mwaka Jana hadi leo haijapakua Mafuta, hivi huu si ni Ujinga na Ulaghai?

Haiwezekani Meli ikae bandarini mwezi mzima kusubiri Kupakua shehena ya Mafuta, huo mzigo hautauzika Sokoni na mwenye mzigo hawezi tena kulipia Shipping costs wala marine charges za bandari

Viongozi waache Uongo!
Kwani malighafi zote zipo Tanzania au zipo nyingine tunaagiza?? Kuweni na akili basi. Watanzania wajinga sana.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nchi ina ardhi kubwa na yenye rutuba lkn bado inaagiza mafuta ya kupikia ni kwa sababu serikali haijali kilimo.

Serikali inawekeza kwenye vitu visivyo na umuhimu kwa nchi. Sasa wanasingizia Corona kuwa ndio imesababisha upungufu wa mafuta, hii sio kweli ni uongo kabisa.
 
Hahaha, Tanzania hakuna Corona Sasa inapandishaje Bei ya Mafuta?

Na anadai eti Kuna Meli ya Mafuta ilishwasili bandarini tangu Desemba 10 mwaka Jana hadi leo haijapakua Mafuta, hivi huu si ni Ujinga na Ulaghai?😅😅

Haiwezekani Meli ikae bandarini mwezi mzima kusubiri Kupakua shehena ya Mafuta, huo mzigo hautauzika Sokoni na mwenye mzigo hawezi tena kulipia Shipping costs wala marine charges za bandari

Viongozi waache Uongo!
Yaaani ni maajabu KWELI KWELI, ni wajinga tu watawadanganya. Eeenh na SARUJI alikwishatoa MAELEZO? Inaumiza saaana, mara kadhaa wanasiasa wadanganyifu wamekuwa chanzo cha mateso kwa wananchi

Angalia bei ya sukari, kabla ya mwaka 2015 au awamu ya 4, sukari ilikuwa kg1@sh 1800.00, wakaja wengine kwa mbwembwe as if wanatupenda wakasumbua wafanyibiashara, sukari leo hiyooo 3000/kg 1, na hakuna anayejali

Na SARUJI ndiyo iko hivyo hivyo, shida juu ya shida 😭😭😭
 
Back
Top Bottom