johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,120
Msemaji wa EWURA amesema wataendelea kuvifungia Vituo vinavyoficha Mafuta kwa minajili ya kujipatia faida kubwa bei zikibadilika
EWURA wamesema Soko la Mafuta liko Wazi hivyo Wafanyabiashara hujua Mapema kama Bei itapanda japo hawajui itakuwa kiasi gani hadi kwa nukta
EWURA imetoa Onyo kwa yeyote atakayejaribu kuficha Mafuta chamoto atakiona kwani wanajua mbinu zao zote ikiwemo magari ya kusafirisha Mafuta kutumia siku zaidi ya 10 kutoka Dar hadi hapo Morogoro kwa mfano
Kaguo amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa Habari
EWURA wamesema Soko la Mafuta liko Wazi hivyo Wafanyabiashara hujua Mapema kama Bei itapanda japo hawajui itakuwa kiasi gani hadi kwa nukta
EWURA imetoa Onyo kwa yeyote atakayejaribu kuficha Mafuta chamoto atakiona kwani wanajua mbinu zao zote ikiwemo magari ya kusafirisha Mafuta kutumia siku zaidi ya 10 kutoka Dar hadi hapo Morogoro kwa mfano
Kaguo amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa Habari