Ni kweli tupo bongo bahati mbaya. Mpaka sasa kakataa kuajiri. Unafikiri mtu atakuwa mzalendo?
Kiukweli, siwezi kuwa mzalendo kwa nchi inayoitwa Tanzania.
Nimefurahi sana tena sana kwa timu za Tanzania kutolewa kwenye mashindano ya mpira. nimefurahi sana Tanzania kudraw leo. naomba ifungwe tu. Timu ovyo ovyo sana. Wachezaji wale wale kila siku. na sasa hivi timu nzima wanamtegemea Samata. shit! warudi kwanza wajinoe ndiyo waende kushiriki. wachezaji wenyewe walio wengi wanatoka simba na yanga,
Ni ukweli uliowazi kuwa tuko Bongo Kwa bahati mbaya sana
Mani anatamani kuwa ktk taiga ovu kama lile?
Mani anahtaji kuwa chini ya maigizo kama Haya?
Nani anahtaji kuona Yuki chini ya watu wasio haki kama hawa?
Ni kweli umenena ndugu.unajua hata moyo wa uzalendo hujengwa kw gharama kubwa.hawa vijana tukiwaruhusu wafanye wanachotaka kw mgongo wa demokrasia!!TUTAKUJA KUJUTA. Unajua kuna vijana wa miaka ya 98 na 2000 hawajui hii nchi imetoka wp.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.