Handsome man
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 880
- 956
Ye mwenyewe aliyeimba kaimbia ili chorus iwe nzuri tu hata hachochei watu kuondoka, tupe takwimu za watu waliondoka bongo baada ya nyimbo hyo
Ooooh kwani yeye ni mzalendo?Mleta mada anadai Young Dee anachochea vijana kupoteza uzalendo na nchi yao
Ujaelewa content wewe bwege.Anachomaanisha hapo ni kuwa anaishi kama yupo ulaya lakini unfortunately yupo Bongo(vumbini).
hahahaa actually u made my dayHao hao Mawaziri na wao wanaona wako Bongo Bahati Mbaya.