Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,995
- 6,293
Swali ni kwamba kwanini kaidharau tiba yenyewe kwa kwenda kuifanyia Toilet???Afadhali aunge mkono juhudi kulinda ajira yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali ni kwamba kwanini kaidharau tiba yenyewe kwa kwenda kuifanyia Toilet???Afadhali aunge mkono juhudi kulinda ajira yake
Chooni ni chooni tu ndiyo maana ukitoka huko lazima unawe mikono kwa sabuni na maji tiririka.Vyoo vingine unaweza hata kula chakula mkuu usikariri na choo unachotumia ww
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali ni kwamba kwanini kaidharau tiba yenyewe kwa kwenda kuifanyia Toilet???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanapona Corona kwa nyungu juice ya limao na tangawiziAfrican newest medicine
Jr
Kuna choo Cha aina hiyo?Mbona ameenda kufanya nyungu chooni? Hakuna special room kwa kazi hiyo?
Kwa hiyo magonjwa ya sasa tiba yake ndiyo hiyo ya kujifukiza siyo?? Acha porojo zako.Akili yako haina uwezo wa kuchuja. Kwani umeambiwa kujifukiza kunatibu aina zote za magonjwa?
Elimu elimu elimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kumsahau mama wa kisulisuliDokta Faustine Ndugulile: ‘kujifukiza kunaunguza njia za hewa’
RIP Ndassa, Dr. Mahiga
Mimi mwenyewe nimeponesha wengi tuuKuna watu wanapona Corona kwa nyungu juice ya limao na tangawizi
Umeponesha kwa kutumia nyungu na limao? Au una dawa nyingine ?Mimi mwenyewe nimeponesha wengi tuu
Jr
Mixer fulani hiviUmeponesha kwa kutumia n
Umeponesha kwa kutumia nyungu na limao? Au una dawa nyingine ?
Sasa mbona hutangazi au kuipeleka maabara iwe tested kwa lengo la kutunufaisha wengi??Mixer fulani hivi
Jr
Hakika. Adui unaoigana naye kwa mbinu zozote, kukubwa ushindiTiba yoyote kama inaponya itumie. Acha kuwa mtumwa wa hiari wa mabeberu. Kabla ya hizo tiba za wazungu mababu zetu walipona kwa tiba za miti shamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ubunifu wa SIDO hilo ni tent la kujivukiziaSwali ni kwamba kwanini kaidharau tiba yenyewe kwa kwenda kuifanyia Toilet???
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyoo vingine unaweza hata kula chakula mkuu usikariri na choo unachotumia ww
Sent using Jamii Forums mobile app