Pablo 119
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 1,502
- 1,909
😂😂😂😂😂😂Vyoo vingine unaweza hata kula chakula mkuu usikariri na choo unachotumia ww
Sent using Jamii Forums mobile app
Dokta Faustine Ndugulile: ‘kujifukiza kunaunguza njia za hewa’
RIP Ndassa, Dr. Mahiga
Not newest mkuu. Hiyo tiba ni ya enzi na enzi, mababu zetu wameitumia sana hiyo tibaAfrican newest medicine
Jr
Afadhali aunge mkono juhudi kulinda ajira yake
Moto walipata wapi kama ni ya enzi na enziNot newest mkuu. Hiyo tiba ni ya enzi na enzi, mababu zetu wameitumia sana hiyo tiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyu ndio nn tena hii duh PhD yake haimsaidii amesahau hatakufanya research kwaajili ya siasa
Kwa hiyo moto umepatikana baada ya wewe kuzaliwa!!mo
moto walipata wapi kama ni ya enzi na enzi
Dr Mwakyembe ametoka kupiga nyungu
Masikini Dr washeria ameamua kuvunja privacy yake kwaajili ya nzala wasomi wetu shida sanaUna macho makali kweli
In God we Trust
Babu zetu waliishi bila PhD na walijitibia kwa Tiba hizo ndio maana wewe msomi ukazaliwa.imagine PhD holder anafanya huo utopolo?
labda anaamini uliletwa na wakoloni
Kama ndivyo uaminivyo kwanini basi wafanye hivi wakati huu tu wa corona?? Mbona kabla ya anga kufungwa kutokana na janga hili walikuwa wakikimbilia India na wengine kwa Mabeberu?? Kwanini wasingeokoa gharama kubwa kwa kujitibia tu hapa nchini kwa tiba asili??Tiba yoyote kama inaponya itumie. Acha kuwa mtumwa wa hiari wa mabeberu. Kabla ya hizo tiba za wazungu mababu zetu walipona kwa tiba za miti shamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote wamevurugwa na yule jamaa wa " ze ze ze yusi tuu dai in ze ze reiki" Wote wanaimba wimbo mmoja.imagine PhD holder anafanya huo utopolo?
Akili yako haina uwezo wa kuchuja. Kwani umeambiwa kujifukiza kunatibu aina zote za magonjwa?Kama ndivyo uaminivyo kwanini basi wafanye hivi wakati huu tu wa corona?? Mbona kabla ya anga kufungwa kutokana na janga hili walikuwa wakikimbilia India na wengine kwa Mabeberu?? Kwanini wasingeokoa gharama kubwa kwa kujitibia tu hapa nchini kwa tiba asili??
Sent using Jamii Forums mobile app