JipuKubwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 2,311
- 2,324
Moja kwa moja kwenye hoja,ndugu waziri wa ujenzi hii barabara ya kutoka Kibaha kwenda Bagamoyo kupitia Loliondo kutokea Vikawe (Baobab sekondari),mkandarasi anayejenga yupo 'slow' mno ukilinganisha na umuhimu wa barabara hiyo.
Kumbuka hospitali ya rufaa ya mkoa ipo Kibaha,hivyo barabara hii ndiyo kiunganishi cha Bagamoyo kwa maana ya kupeleka wagonjwa hospitali ya Tumbi.
Barabara ni mbovu mno,mkandarasi yupo site kila siku ila anachofanya hakionekani.Mh waziri tunakuomba uchukue hatua.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kumbuka hospitali ya rufaa ya mkoa ipo Kibaha,hivyo barabara hii ndiyo kiunganishi cha Bagamoyo kwa maana ya kupeleka wagonjwa hospitali ya Tumbi.
Barabara ni mbovu mno,mkandarasi yupo site kila siku ila anachofanya hakionekani.Mh waziri tunakuomba uchukue hatua.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app