Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais

Katiba ya Urusi inasema rais atatawala kwa vipindi viwili kama atachaguliwa, haisemi kama inamkataza baada hivyo vipindi viwili akakaa pembeni halafu akarudi tena kugombea

Hivyo Putin alitumia loophole hiyo ya katiba kutosema chochote kumlataza rais anayemaliza vipindi vyake viwili akakaa pembeni na baadaye kurudi tena kugombea.
Kipindi kile akamuandaa Dmitry Medvedev kuwa rais lakini kabla akahamishia nguvu na mamlaka kubwa kwa waziri mkuu halafu yeye akaenda kuwa Waziri mkuu halafu Dmitry Medvedev akawa rais lakini asiye na nguvu, hata wakuu wa nchini walipotaka kukutana na mkuu wa nchi ya Russia, walikutana na Waziri mkuu Putin.

Wakati Dmitry Medvedev anaelekea ukjngoni mwa utawala wake, Putin akaenda tena Bungeni kuhamisha madaraka kutoka kwa waziri kwenda kaa rais akijua atashinda tu.
Hivyo anachokifanya hivi sasa ni marudio tu na binafsi nilikitarajia sana.

Si kweli kwamba Medvedev kipindi akiwa rais alikuwa sio mkuu wa nchi, HAPANA. Medvedev alikuwa ni bosi wa Putin kama vile tu sasa Putin alivyo bosi wa Medvedev. Medvedev alikuwa rais, mkuu wa nchi, mkuu wa serikali na amir jeshi mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais Vladmir Putin leo.

Putin alikutana na Medvedev baada ya rais kutoa hotuba yake kupitia televisheni ya taifa ambamo amependekeza kufanyia mageuzi katiba ili kulipa bunge uwezo wa kumteua waziri mkuu.

Kwa hivi sasa rais ana mamlaka ya kumteua waziri mkuu. Medvedev alinukuliwa akisema kuwa katika muktadha huu ni wazi kwamba , baraza la mawaziri , linapaswa kumpatia rais wa nchi hiyo fursa ya kuchukua hatua zote zinazostahili.

Putin alinukuliwa akimuelekeza Medvedev kuendelea kuwa katika wadhifa wa waziri mkuu hadi pale baraza jipya la mawaziri litakapoundwa.

Putin alisema katika hotuba yake kwa taifa kuwa Medvedev atateuliwa kuwa naibu mkuu wa baraza la taifa la usalama nchini humo. Putin ni mkuu wa baraza hilo.
 
2008-2012....Putin aliamua kuweka madarakani kama Rais , ili kutoa nafasi yake tena yakua Rais ...


Ndo maana 2012 ..Putin akarudi kua Rais, na Medvedev akarudi kua Waziri mkuu

Putin yupo kwa Urais toka 1999/1/31


Kama umefatilia Speech yake kwa Feds ,Jamaa anatengeneza mazingira yakuendelea kuiendesha Russia hata baada ya muda wake kuisha 2024 , ndo maana Medvedev kajiuzuru.
 
Si kweli kwamba Medvedev kipindi akiwa rais alikuwa sio mkuu wa nchi, HAPANA. Medvedev alikuwa ni bosi wa Putin kama vile tu sasa Putin alivyo bosi wa Medvedev. Medvedev alikuwa rais, mkuu wa nchi, mkuu wa serikali na amir jeshi mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Medvedev alikuwa ndiye mkuu wa nchi, ila kumbuka vizuri au fanya marejeo ya taarifa uone kilichofanyika kabla Medvedev hajawa rais na Putin kuwa Waziri mkuu. Kati ya masharti ilikuwa ni kuhakikisha kwamba akishashinda urais anamteua Putin kuwa Wazuri mkuu.

Ilikuwa kama ilivyokuwa kipindi kile Kagame alipokuwa makamu wa raus Rwanda.

Putin anafanya usanii sana ili aendelee kuwa Powefulman
 
... hivi hakuna warusi wengine wenye sifa kuongoza taifa lao? Kwa kupenda madaraka huyu hana tofauti na madikteta ya kiafrika.
 
Kama umefatilia Speech yake kwa Feds ,Jamaa anatengeneza mazingira yakuendelea kuiendesha Russia hata baada ya muda wake kuisha 2024 , ndo maana Medvedev kajiuzuru.
Siyo kwamba anaimarisha maamuzi ya kidemokrasia nchi Russia, kweli? Kulipa nguvu bunge kwa kupunguza madaraka ya rais wakati huo huo ukiimarisha nafasi ya waziri Mkuu kuna ubaya gani kidemokrasia! Tatizo kila west ikianzisha mchezo inajikuta imepigwa kwenye mchezo huo huo iliouanzisha!! West walisema Russia kuna mapungufu ya demokrasia ...sasa Putin katia mguu mazima kushamirisha demokrasia, west wanaibuka eti Putin anajiandaa kuendelea ku'shikilia' madaraka ya nchi! Beaten on their own game of Democracy, h ah aaha aa!
===
Kwa kukukumbusha tu D.Medved amepewa nafasi ya makamu mwenyekiti wa Balaza la Usalama la Russia (chombo muhimu na kikubwa sana nchini humo) ambacho ni Rais pekee alikuwa mwenyekiti bila msaidizi. Unganisha dots... !
 
Siyo kwamba anaimarisha maamuzi ya kidemokrasia nchi Russia, kweli? Kulipa nguvu bunge kwa kupunguza madaraka ya rais wakati huo huo ukiimarisha nafasi ya waziri Mkuu kuna ubaya gani kidemokrasia! Tatizo kila west ikianzisha mchezo inajikuta imepigwa kwenye mchezo huo huo iliouanzisha!! West walisema Russia kuna mapungufu ya demokrasia ...sasa Putin katia mguu mazima kushamirisha demokrasia, west wanaibuka eti Putin anajiandaa kuendelea ku'shikilia' madaraka ya nchi! Beaten on their own game of Democracy, h ah aaha aa!
===
Kwa kukukumbusha tu D.Medved amepewa nafasi ya makamu mwenyekiti wa Balaza la Usalama la Russia (chombo muhimu na kikubwa sana nchini humo) ambacho ni Rais pekee alikuwa mwenyekiti bila msaidizi. Unganisha dots... !
Putini anataka kuwa Waziri Mkuu mwenye nguvu kuanzia 2024, nachokiona Russia hawaaminiani wale ambao wako katika baraza la Usalama la nchi, wameshindwa kumpata Mrithi/ Mbadala wa Putini kwa maana hiyo Putini ni Russia hadi atakapofariki
 
Putin anacheza na katiba ya nchi yake ili ajihakikishie nafasi ya kubakia Kremlin miaka ijayo.
 
Putini anataka kuwa Waziri Mkuu mwenye nguvu kuanzia 2024, nachokiona Russia hawaaminiani wale ambao wako katika baraza la Usalama la nchi, wameshindwa kumpata Mrithi/ Mbadala wa Putini kwa maana hiyo Putini ni Russia hadi atakapofariki
Yani nikisomaga habari za hawa watu wawili nabaki nacheka tu.
Ndio maana Russia hawahangaiki na kitu kinachoitwa Democracy kwa kuwa wao hawana kabisa
 
Kama Uwepo wake madarakani katika ikulu ya Kremlin unatija ' ' Na Bado unatoa Upinzani mkubwa kwa mataifa Adui ya Russia ....huku akiendelea kuifanya Russia kuwa nchi kubwa na Yenye ushawishi Duniani ....Basi aendelee tu kuwepo madarakani mpaka Kufa kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri Mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev ametangaza kuwa serikali imejiuzulu. Taarifa hiyo inakuja muda mfupi baada ya Rais Vladimir Putin kutoa hotuba yake ya kila mwaka ya kitaifa.

Kukubaliana na kujiuzulu huko, Putin aliwaomba mawaziri kuendelea kufanya kazi hadi pale serikali mpya itakapoundwa.

Kabla ya kutangaza kujiuzulu kwa baraza la mawaziri, ndugu Medvedev alikutana na Putin kujadili hotuba ya kitaifa aliyoitoa Putin, ambayo ilifanyika mapema Jumatano, ofisi ya habari ya Kremlin ilisema.

Putin alisema pia kuwa ana mpango wa kuunda nafasi ya katibu mkuu wa baraza la usalama la nchini Urusi, na kumpatia nafasi hiyo Medvedev.

Katika hotuba yake, Putin alipendekeza marekebisho kadhaa ya katiba.

"Katika muktadha huu, ni dhahiri kwamba, kama serikali, lazima tumpe rais uwezo wa kufanya maamuzi yote, ambayo yanahitajika kutekeleza mpango uliopendekezwa", Medvedev alisema.

====

Russian government resigns, after President Putin's State-of-the-Nation Address proposes changes to the constitution

View attachment 1324256

Russian Prime Minister Dmitry Medvedev has announced that the government is resigning. The statement came shortly after President Vladimir Putin delivered his annual state-of-the-nation address.

Accepting the resignation, Putin asked the ministers to function as a caretaker government until a new one is formed.
Before announcing the resignation of the cabinet, Medvedev met with Putin to discuss his state-of-the-nation address, which took place earlier on Wednesday, the Kremlin’s press office said.

Putin also said that he plans to create a position of the deputy secretary of Russia’s security council, and offer it to Medvedev.

In his address, Putin proposed several amendments to the constitution.

“In this context, it is obvious that, as the government, we must provide the president with a capability to make all decisions,” which are required to implement the proposed plan, Medvedev said.

Source: RT

====

Russian government, PM Medvedev resign after Putin unveils reforms

Russian Prime Minister Dmitry Medvedev has handed in his resignation to President Vladimir Putin, Russian news agencies reported. The surprise move came just after Putin announced planned changes to the constitution.

View attachment 1324279

Russian Prime Minister Dmitry Medvedev announced on Wednesday that he and the rest of the Russian government were resigning, Russian news agencies reported.

The announcement came on the heels of President Vladimir Putin's annual speech to lawmakers where he proposed a series of constitutional reforms that would grant more powers to parliament including the ability to select the prime minister.

The changes would make significant changes to the country's balance of power and so "the government in its current form has resigned," Medvedev said on state television while seated next to Putin.

The prime minister said the move was aimed at clearing the way for the changes to be made. Putin earlier said the constitutional amendments would be put to a referendum.

Putin has asked the outgoing government to continue to carry out their duties until a new government is formed. The Russian president added that he was "satisfied with the government's performance" although the government failed to fulfill certain tasks, reported news agency Interfax.

"Not everything worked out, but everything never works out," Putin said.

Kremlin power struggle

While Putin and Medvedev appeared to present a united front, Russian political analyst Alexey Kurtov interpreted the prime ministers resignation as a show of "disagreement" with sweeping changes suggested by Putin.

"I think this was a spontaneous reaction from Medvedev, who disagreed with the general line of the president's proposals," said Kurtov, who serves as president of the Russian Association of Political Consultants (RAPC).

According to Kurtov, Medvedev has been engaged in a long-running power struggle with the current Duma speaker, Vyacheslav Volodin. The proposed changes would give the Duma powers to appoint the prime minister.

Putin heading for the Duma?

The maneuver could prove crucial for Putin's future. The former FSB chief took power in 2000 and since served as both president and prime minister. He is currently in his consecutive term as president and is prohibited by law to stay on as president.

"I wouldn't exclude that Putin sees himself taking on the speaker's chair in the parliament in the future," political analyst Abbas Gallyamov told DW. "Since Putin's main task now is to secure his own political future, we can assume he is paving the way for himself there."

Although Medvedev is set to leave the prime ministerial seat, Putin signaled he would keep his longtime ally near the center of power as the deputy head of Russia's Security Council. The committee is chaired by Putin himself and deals with affairs of national security.

The prime minister, several government ministers and heads of security agencies are among the council's members. On Wednesday, Putin suggested creating the position of Council's deputy chief and said Medvedev should take the post.

Source: DW
Huyu Putin huwa anaifanya Russia kama kaiumba yeye anageiuza geuza kama anakaanga samaki kwa jinsi anavyofikiri na huyu Medvedev kila anachopangiwa kwake hewala bwana mkubwa, akiambiwa utakuwa rais sawa, utakuwa waziri mkuu sawa utakuwa katibu wa usalama kwake hewala ili mradi mambo yake yanakwenda
 
Siyo kwamba anaimarisha maamuzi ya kidemokrasia nchi Russia, kweli? Kulipa nguvu bunge kwa kupunguza madaraka ya rais wakati huo huo ukiimarisha nafasi ya waziri Mkuu kuna ubaya gani kidemokrasia! Tatizo kila west ikianzisha mchezo inajikuta imepigwa kwenye mchezo huo huo iliouanzisha!! West walisema Russia kuna mapungufu ya demokrasia ...sasa Putin katia mguu mazima kushamirisha demokrasia, west wanaibuka eti Putin anajiandaa kuendelea ku'shikilia' madaraka ya nchi! Beaten on their own game of Democracy, h ah aaha aa!
===
Kwa kukukumbusha tu D.Medved amepewa nafasi ya makamu mwenyekiti wa Balaza la Usalama la Russia (chombo muhimu na kikubwa sana nchini humo) ambacho ni Rais pekee alikuwa mwenyekiti bila msaidizi. Unganisha dots... !
Ndo maana nakuambia Putin mjanja... Hilo baraza ,yeye mwenyewe ndo kalianzisha.

Medvedev kua Makamo maana yake kuna Mkuu wake...

Mkuu wake niyupi??? Atakua Putin mwenyewe.

Putin mazingira haya...

Kwanza anaweza kuchaguliwa na Bunge kua Waziri Mkuu ndio maana unaona anakupa bunge mamlaka + kumpa Waziri Mkuu mamlaka.


Au kupitia hili Baraza, ambapo yeye atakua Mkuu ,na Medvedev kua Makamo wake...( kumbuka ili baraza ndio kitakua linaongoza masuala muhimu yote ya kitaifa ikiwemo Ulinzi na usalama na uchumi ,HAPA JAMAA ANATAKA KUA KAMA AYATOLLAH WA IRAN)....


Kumpunguzia Rais madaraka ni anajaribu kuibadili Urusi kua kma Iran..


NB..Putin alikua anauwezo wa kufanya kama Xi jinping , Ila ye kaamua kutumia njia nyingine ..

Mwamba anaamini Urusi inamuhitaji sana, ndio sababu hata wakat kampan Medvedev Urais, BADO YEYE NDO ALIAMUA KILA KITU NAHATA MAJESHI NA VYOMBO VYA USALAMA VILIKUA VINAFUATA MAAGIZO YAKE KULIKO YA Medvedev .......pitia vita ya Russo- Georgian war .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom