peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 16,029
- 26,235
Jinsia ile;
1. DC same
2. DC Mwanga
3. DC Nzega
4. DC ....
1. DC same
2. DC Mwanga
3. DC Nzega
4. DC ....
2025 Hadi 2035 mitano utamuongeza wewe???Tanzania itaandika historia nyingine kwa kuwa na Waziri Mkuu Mwanamke (2025-2035). Asante kamati kuu..
**Tunajivunia utaifa wetu
naunga mkono hoja but kidogo nina point of corrections,Tanzania itaandika historia nyingine kwa kuwa na Waziri Mkuu Mwanamke (2025-2035). Asante kamati kuu..
**Tunajivunia utaifa wetu
UongoTanzania itaandika historia nyingine kwa kuwa na Waziri Mkuu Mwanamke (2025-2035). Asante kamati kuu..
**Tunajivunia utaifa wetu
Tanzania itaandika historia nyingine kwa kuwa na Waziri Mkuu Mwanamke (2025-2035). Asante kamati kuu..
**Tunajivunia utaifa wetu
For foreigners views not for Tz citizensElection is a must, reform may be later 2040.
😂😂😂😂Itapendeza mkimuweka shilole naona anafaa na anaweza
Ova
Inategemea na malengo yakeKwa muundo huo ina maana hatagombea hata kura za maoni na ubunge! Maana kutoka kuwa PM halafu kuja kuwa mbunge wa kawaida au Waziri wa kawaida sio picha kali
Hiyo jinsia hapanaTulia ataenda kuwa Waziri mkuu, na Jenister atakua Spika.
Washashinda uchaguzi. Maana kuna watu wamekula nyoya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tatizo ya ma CCM ishaanza kugawana madaraka - No Reform election kunguru nyie.
Ndo itakua hivyo.Hiyo jinsia hapana
Wacha tuone.Duh
Ova
Ukikuta mke ni spika,jua mume ni spika! Cheo kinalambwa na watu wawili bila kujijuaNdo itakua hivyo.
Nini kitabadilika? Kama kuna Rais mwanamke tu ila hamna kilichobadilika wanawake ni watu ambao wanapaswa kukaa nyumbani ili kulea watoto na kuvaa pedi tuTanzania itaandika historia nyingine kwa kuwa na Waziri Mkuu Mwanamke (2025-2035). Asante kamati kuu..
**Tunajivunia utaifa wetu