gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 13,028
- 16,046
Jenga ghorofa acha kuimba ujingaNo reforms no election
Jenga ghorofa acha kuimba ujingaNo reforms no election
Ushawahi kusikia kuna waziri anaitwa Urasa hapa nchini?🤣🤣🤣🤣. Natania lakini.Eeh ni MIMI
Kwani wanaume walibadilisha nini?Nini kitabadilika? Kama kuna Rais mwanamke tu ila hamna kilichobadilika wanawake ni watu ambao wanapaswa kukaa nyumbani ili kulea watoto na kuvaa pedi tu
Wanawake hatuwataki, wabaki kutupikia tu, mambo ya uongozi hawayaweziTanzania itaandika historia nyingine kwa kuwa na Waziri Mkuu Mwanamke (2025-2035). Asante kamati kuu..
**Tunajivunia utaifa wetu
Tulia ✅ ila Jenister ❌Tulia ataenda kuwa Waziri mkuu, na Jenister atakua Spika.
Kwa uchaguz gan upi ama usengWashashinda uchaguzi. Maana kuna watu wamekula nyoya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
HuohuoKwa uchaguz gan upi ama useng
Tanzania itaandika historia nyingine kwa kuwa na Waziri Mkuu Mwanamke (2025-2035). Asante kamati kuu..
**Tunajivunia utaifa wetu
Wacha tuone.Tulia ✅ ila Jenister ❌
😂😂😂😂😂waziri mwanamke ndio jambo la kujivunia, punguza utahira
Usimalize nguvu zako.mkuu 🤣 omba uzima na amani na familia yako ile ishibe na ujifunge mkanda mana yajayo yanafurahisha🤣🤣Hili haliwezi kutokea bana, yaani Mwanamke gani tz anaweza vaa viatu as PM? Jenister mhagama na Diploma yake ya ualimu ya kutoka pale Chuo cha ualimu Korogwe au yule Dr aliyeshuka kiwango kule UN na kuishia kuwa balozi ?
Au huyu supika wa bunge la jamhuri ya Tanganyika? No way jamani
Watz sio wajinga kiasi hiki, ifike hatua sasa wanaume tuache uchawa na tuamke bana
Ikimpendeza baraza la mawaziri lote ikiwemo na makamo wa raisi liwe la wanawake.
Itarahisisha dhamira yake ya kuizika kabisa hii nchi, maana ikiwa yeye peke yake kaweza kuleta anguko la nchi hii kwa miaka 4 nina hakika wakiwa wote wanawake watalitimiza kwa miezi kadhaa tu.
Mama mitano tena.
Aah Huyu hafai! Amefanya madudu mengi sana pale nectaProf Ndalichako,anatufaa kuliko secretary!
Asante sana my dear kwa ushauri lakini kuhusu familia mke mwenyewe ndio bado kumpata hivyo kama kuna connection naomba nipasie tuUsimalize nguvu zako.mkuu 🤣 omba uzima na amani na familia yako ile ishibe na ujifunge mkanda mana yajayo yanafurahisha🤣🤣
We huoni wakuu wa nchi wote wamevaa vitenge vya mama we huogopi?
Atokee mkoa ganiAsante sana my dear kwa ushauri lakini kuhusu familia mke mwenyewe ndio bado kumpata hivyo kama kuna connection naomba nipasie tu
Awe na miaka 25 hadi 33, mwenye hofu ya Mungu, awe tayari kupima HIV pamoja, ASIWE NA MTOTO AU WATOTO.
Kama anakidhi vigezo chap naweka ndani na kujenga familia bora