Tetesi: Waziri Mkuu Mwanamke (2025-2035)

Tetesi: Waziri Mkuu Mwanamke (2025-2035)

Ikimpendeza baraza la mawaziri lote ikiwemo na makamo wa raisi liwe la wanawake.

Itarahisisha dhamira yake ya kuizika kabisa hii nchi, maana ikiwa yeye peke yake kaweza kuleta anguko la nchi hii kwa miaka 4 nina hakika wakiwa wote wanawake watalitimiza kwa miezi kadhaa tu.

Mama mitano tena.
 
Naona Kassim Majaliwa kachemka imebidi tu afuate upepo unavyoenda anaogopa kukurupuka na kuaibika kwa kupewa mipasho
Kwa muundo huo ina maana hatagombea hata kura za maoni na ubunge! Maana kutoka kuwa PM halafu kuja kuwa mbunge wa kawaida au Waziri wa kawaida sio picha kali
 
Back
Top Bottom