johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Board za mazao zilishashindwa siku nyingi sana.Waziri mkuu mh Majaliwa anafungua jengo la ofisi za bodi ya mkonge na kushuhudia utekelezaji wa agizo lake lililotaka mali zote za Mkonge zilizoporwa na mafisadi zirejeshwe.
Karibu.
Up datea;
Usikariri bwashee!Board za mazao zilishashindwa siku nyingi sana.
Huo ni ukweli ambao serikali imeshindwa kuukubaliUsikariri bwashee!
Hizi ngonjera zitaisha lini?Hivi kufungua jengo ni maendeleo?au uzalishaji wa mkonge na kiwanda cha ku process si ndio maendeleo hayo???waziri amekosa cha kufanya kabisa!!!
Ameshamaliza bwashee!
Ameshamaliza bwashee!
dona kantre sio?Sisi ni Tanzania mpya
nchi ngumu sana hiikuzindua jengo nako kinahitaji kuenda hewani live?
Hivi mtu anayejielewa anaweza kupigia kura mfuasi wa mabeberu ?
Kama nyie mbuzi hamuachani na mabeberu ili muongezeke kuna shida gani kumpigia kura mtu atakaechunga ndama wenu wakati mkishughulika na mabeberu kupata wengine?Hivi mtu anayejielewa anaweza kupigia kura mfuasi wa mabeberu ?
Mi nadhani tungekuja na sababu za kushindwa kwa hizi bodi za mazao ingekuwa ni vema. Suala la kuzifufua lingekuwa rahisi sana kama tungejua chanzo cha kuanguka kwakeBoard za mazao zilishashindwa siku nyingi sana.
Bodi za mazao zilishindwa kufanya vizuri kutokana na sababu nyingi.Mi nadhani tungekuja na sababu za kushindwa kwa hizi bodi za mazao ingekuwa ni vema. Suala la kuzifufua lingekuwa rahisi sana kama tungejua chanzo cha kuanguka kwake