Italia: Waziri Mkuu Majaliwa amefanya mazungumzo na Rais wa Jimbo wa Lombardia

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
738
479
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 20, 2023. amefanya mazungumzo na Rais wa Jimbo wa Lombardia Mhe. Attilio Fontana kwenye ofisi za jimbo hilo zilizopo Milan, Italia kuhusu masuala ya ushirikiano kati ya jimbo la Lombardia na Tanzania. Jimbo hilo ni maarufu kwa viwanda,

katika mazungumzo hayo Mheshimiwa Majaliwa aliambatana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Shamata Shaame Hamisi, Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde, Balozi wa Tanzania nchini Italia, Mahmoud Thabit Kombo na Balozi Said Yakubu.

IMG-20231020-WA0181.jpg
IMG-20231020-WA0177.jpg
IMG-20231020-WA0180.jpg
IMG-20231020-WA0179.jpg
IMG-20231020-WA0178.jpg
IMG-20231020-WA0182.jpg
IMG-20231020-WA0174.jpg
IMG-20231020-WA0176.jpg
255762089225_status_e5163e13d9c4417cbd424df6bb714d0c.jpg
 

Attachments

  • IMG-20231020-WA0181.jpg
    IMG-20231020-WA0181.jpg
    74.8 KB · Views: 3
  • IMG-20231020-WA0183.jpg
    IMG-20231020-WA0183.jpg
    62.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom