Wewe ni wakuonewa huruma tu maana uwezo wako ndipo ulipoishia kwa sasa.Hesabu kuanzia mwaka mmoja mbele ndipo inaweza kuanza kazi.
Ni chizi gani aliyetoa structure ya sgr dar ipite juu?
80% au zaidi ya pesa za mradi zimeishia kwenye kuweka minguzo hapa dar na bado haijakamilika
Huyu jamaa si ameshakimbia toka TRC baada ya "kuchoshwa" kuripoti reli kila siku ipo 97% kipande kimekamilika, akaona heshima yake kiuandishi wa habari inashuka.
Mbona waziri alisema kua wanatarajia Disemba waanze majaribioKama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.
Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
Nimecheka kwa nguvu kinoma, mzee wa siasa chafu unajua kichaka cha kujifichia kinaanza kuchomwa moto. Mwezi Novemba tutakuja kuhoji uongo mwingine wa kujaza maji bwawa la Samaki. Labda mfufue tena lile kundi lenu la watu wasiojulikana kuanza kuteka tunaweka huo uongo hadharani. Ni kama nakuona hapa nilipo.Kwani na wewe unataka SGR?
Mbona waziri alisema kua wanatarajia Disemba waanze majaribio
Usichukulie poa Mkuu .nKama ilivyofutika chadema, cuf, nccr, cheyo nk.
Kama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.
Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
SGR haikuhusu wewe nyumbu! Kamsalimie Gaidi Mbowe huko Segerea.Kama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.
Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
HaikuhusuMwaka huu uwezekano huo ni mdogo.
Sisi tunajua majaribio ya Train ya Umeme inaanza Dec 2021Yaani nikiwaona watumikia siasa chafu napata raha vibaya mno.
PM anapewa ripoti na wataalamu na wahusika. Yeye sio fundi wala msimamizi wa mradi. Kabla ya kuanza kumshutumu, lazima tuwe na picha nzima ya nani alifanya au kusema niniKama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.
Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
Kati ya waropokaji wachache tulioachiwa na Magufuli ni huyo Kasimu Majaliwa, anaahidi OCEAN wakati utekelezaji ni pondKama uzi huu Safari za Treni ya Mwendokasi kuanza Agosti mwaka huu, 2021 unavyojionyesha, Waziri Mkuu alisema mwezi huu wa nane SGR kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi. Je ni tarehe ngapi treni hiyo itaanza kazi? Badala ya serikali kujifichia kwenye kesi za kubambikiziana, watuonyeshe wanavyotekeleza ahadi za maendeleo.
Tunajua waziri Mkuu huna tabia ya kusema ukweli, mfano ulisema ww na IGP utatoa ripoti ya mtu aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, lakini mpaka leo uko kimya! Ajali ya moto wa soko la kariakoo nayo ukaahidi utatoa ripoti ndani ya siku 7, tena baada ya kuunda kamati. Lakini inaonekana hela zimeliwa na hiyo kamati yako, na uko kimya! Ulifanya hivyo hivyo kwenye ajali ya moto wa lorry la mafuta huko Morogoro. Sasa tuambie SGR inaanza kazi tarehe ngapi mwezi huu?
PM anapewa ripoti na wataalamu na wahusika. Yeye sio fundi wala msimamizi wa mradi. Kabla ya kuanza kumshutumu, lazima tuwe na picha nzima ya nani alifanya au kusema nini
Kwani wewe unaulizia SGR ya nini?Nimecheka kwa nguvu kinoma, mzee wa siasa chafu unajua kichaka cha kujifichia kinaanza kuchomwa moto. Mwezi Novemba tutakuja kuhoji uongo mwingine wa kujaza maji bwawa la Samaki. Labda mfufue tena lile kundi lenu la watu wasiojulikana kuanza kuteka tunaweka huo uongo hadharani. Ni kama nakuona hapa nilipo.