Kwani shida haijulikani? Tatizo ni pale awamu ya 5 walipoamua Serikali iendeshe huo mradi. Serikali ua JMT haijawahi kuendesha mradi wowote ikapata faida.Huu mradi unaendeshwa kipuuzi Sana, inaonekana hata service hawafanyia Hawa
Haiwezekani mradi umeanza 2018 na mabasi 140,
takribani Miaka 2 na nusu TU tangu uanzishwe.
Eti mabasi yamebaki 100 tu ndo yanayotembea, yaani mabasi 40 yako juu ya mawe.
Yaani tayari 1/3 ya mabasi yamekufa, ndani ya Miaka 2 na nusu tu.
Ina maana, wskiendelea kwa trend hii wanayokwenda nayo.
Miaka mitano ijayo kuanzia sasa, mradi utakua hauna Basi ata Moja.
KUNA SHIDA MAHALI
Ni dhahiri ndani ya Serikali, ubunifu ni zero.