Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni mchapakazi na mzalendo, aungwe mkono

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,103
22,547
Salaam, Shalom!!

Tuliiona Kasi ya Kassim Majaliwa kiutendaji chini ya Hayati Magufuli, lakini baada ya kufariki Kwa Magu na Kuingia kiongozi mwingine, alijaribu kuendeleza Kasi hiyo lakini ghafula akaanza kuwa mpole, Amepitia misukosuko kadhaa akishutumiwa Kwa tuhuma zisizo na UKWELI wowote.

Tumewahi kusikia Bungeni Mpina akilalamika kuwa maagizo yake yanapuuzwa, Kupuuzwa Kwa maagizo ya Waziri mkuu kunamvunja moyo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi, hahitaji kuwekewa WASAIDIZI aina ya Biteko au makaripio ya kijana wa chama Ili kutimiza WAJIBU wake anaoujua vyema, Ana uwezo wa kuchukua hatua vizuri sana, na alifanikiwa sana Awamu ya Tano.

Waziri Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi aungwe mkono Ili amalizie miaka yake ya utumishi na APUMZIKE 2025 Kwa Heshima.

ANGALIZO: Ushauri niliotoa ni wangu binafsi, sijatumwa na yeyote, nimetumwa na NAFSI yangu Kwa Upendo wa Kweli juu ya viongozi wazalendo wa Nchi yangu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Amen.

Karibuni🙏

Cc Suzy Elias
 
Salaam, Shalom!!

Tuliiona Kasi ya Kassim Majaliwa kiutendaji chini ya Hayati Magufuli, lakini baada ya kufariki Kwa Magu na Kuingia kiongozi mwingine, alijaribu kuendeleza Kasi hiyo lakini ghafula akaanza kuwa mpole, Amepitia misukosuko kadhaa akishutumiwa Kwa tuhuma zisizo na UKWELI wowote.

Tumewahi kusikia Bungeni Mpina akilalamika kuwa maagizo yake yanapuuzwa, Kupuuzwa Kwa maagizo ya Waziri mkuu kunamvunja moyo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi, hahitaji kuwekewa WASAIDIZI aina ya Biteko au makaripio ya kijana wa chama Ili kutimiza WAJIBU wake anaoujua vyema, Ana uwezo wa kuchukua hatua vizuri sana, na alifanikiwa sana Awamu ya Tano.

Waziri Majaliwa ni mzalendo na Mchapakazi aungwe mkono Ili amalizie miaka yake ya utumishi na apumzike.

ANGALIZO: Ushauri niliotoa ni wangu binafsi, sijatumwa na yeyote, nimetumwa na NAFSI yangu Kwa Upendo wa Kweli juu ya viongozi wazalendo wa Nchi yangu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA

Karibuni
Unataka aungwe vipi mkono?
 
Unataka aungwe vipi mkono?
Apewe Heshima yake,

Asidhalilishwe na vijana aliowalea mwenyewe Kwa kivuli Cha maagizo ya chama.

Aheshimiwe pia na viongozi wa chini yake Kwa nafasi yake.

Na maagizo yake yaheshimiwe na kutekelezwa kama Awamu ya 5.
 
Ila kiukweli waislamu kwenye uvumilivu mbingu wataibeba....nikiangalia majaaliwa anayopitia....samia anayopitia.....kwa kweli Mimi ningeshajindugai muda mrefuu.....ila ccm nanyi too much khaa,kuleni kwa kias msisahau uendeshaji nchi wahitaji fedha hizohizo....Tz haina maokoto....mnapochota pakubwa palipopwaya lazima paonekane...
Ndo hivyo pesa ya kuendeshea mambo mengine inapelea
 
Apewe Heshima yake,

Asidhalilishwe na vijana aliowalea mwenyewe Kwa kivuli Cha maagizo ya chama.

Aheshimiwe pia na viongozi wa chini yake Kwa nafasi yake.

Na maagizo yake yaheshimiwe na kutekelezwa kama Awamu ya 5.
Heshima yake kama inavunjwa ziko taratibu za yeye kufuata kuhakikisha haivunjwi

Vijana aliowalea kama wanamdhalilisha ndani ya chama chake hayo ni mambo ya kumalizana kwa taratibu zilizoko ndani ya chama chake

Kama kuna viongozi wa chini wasiomheshimu au wasiotekeleza maagizo yake basi atumie mamlaka yake kuwawajibisha au kama hawezi ajiuzulu au atumbuliwe kabisa.
 
Ila kiukweli waislamu kwenye uvumilivu mbingu wataibeba....nikiangalia majaaliwa anayopitia....samia anayopitia.....kwa kweli Mimi ningeshajindugai muda mrefuu.....ila ccm nanyi too much khaa,kuleni kwa kias msisahau uendeshaji nchi wahitaji fedha hizohizo....Tz haina maokoto....mnapochota pakubwa palipopwaya lazima paonekane...
Ndo hivyo pesa ya kuendeshea mambo mengine inapelea
Wao wanaiba mazima mazima
 
Ila kiukweli waislamu kwenye uvumilivu mbingu wataibeba....nikiangalia majaaliwa anayopitia....samia anayopitia.....kwa kweli Mimi ningeshajindugai muda mrefuu.....ila ccm nanyi too much khaa,kuleni kwa kias msisahau uendeshaji nchi wahitaji fedha hizohizo....Tz haina maokoto....mnapochota pakubwa palipopwaya lazima paonekane...
Ndo hivyo pesa ya kuendeshea mambo mengine inapelea
Mbinguni hawaingii wavumilivu pekee,

Tiketi ya Mbinguni ni kumkiri Yesu Kristo kuwa BWANA na Mwokozi, kuishi maisha ya utakatifu, uvumilivu na mengine yanafuata.

Viongozi Walio waislamu, Wakristo, wapagani, wameruhusiwa na Mungu kutuongoza.

Mimi ni mzalendo wa Nchi yangu, sijui unafiki, penye UKWELI na HAKI utanikuta hapo.

Amen.
 
Heshima yake kama inavunjwa ziko taratibu za yeye kufuata kuhakikisha haivunjwi

Vijana aliowalea kama wanamdhalilisha ndani ya chama chake hayo ni mambo ya kumalizana kwa taratibu zilizoko ndani ya chama chake

Kama kuna viongozi wa chini wasiomheshimu au wasiotekeleza maagizo yake basi atumie mamlaka yake kuwawajibisha au kama hawezi ajiuzulu au atumbuliwe kabisa.
Nashauri aungwe mkono, amalize muda wake wa uongozi, na 2025 APUMZIKE.
 
Mbinguni hawaingii wavumilivu pekee,

Tiketi ya Mbinguni ni kumkiri Yesu Kristo kuwa BWANA na Mwokozi, kuishi maisha ya utakatifu, uvumilivu na mengine yanafuata.

Viongozi Walio waislamu, Wakristo, wapagani, wameruhusiwa na Mungu kutuongoza.

Mimi ni mzalendo wa Nchi yangu, sijui unafiki, penye UKWELI na HAKI utanikuta hapo.

Amen.
Amen
 
Back
Top Bottom