Kuna Madai kuwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa maagizo anayotoa kwa mamlaka za serikali yanapuuzwa na hayatekelezwi na hivyo kumuondolea sifa ya kuendelea kuwa Waziri Mkuu na nimesikia baadhi ya watu wakiwashawishi wabunge kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye kwa kushindwa kusimamia majukumu ya uwaziri mkuu.
Je, madai haya ni ya kweli? na kama ni ya kweli ni maagizo gani ya Waziri Mkuu ambayo yamepuuzwa na watendaji wa Serikali?
Je, madai haya ni ya kweli? na kama ni ya kweli ni maagizo gani ya Waziri Mkuu ambayo yamepuuzwa na watendaji wa Serikali?