🤣🤣🤣 Wanampampu kujua kua anapendwaMajaliwa anaogopeka ila kuna baadhi ya viongozi wanamzidi kete akitembelea maeneo yao.
Wanamuandalia wapambe wenye nguo za rangi ya kijani na njano wana demkaaaaaaa yeye anatabasam na kuondoka
Duh noma kweliIna maana hadi DART inajiendesha kwa hasara ? Unakuta mjinga mmoja anasema alipambana ufisadi kumbe alipambana na wapinzani na matajiri
Kwahiyo kumbe ana mikwala ya juice kutoa gesMajaliwa namjua akishafoka hivyo imeisha hiyo hakuna kitakachoendelea hapi
Na sisi wananchi tuna haki ya kufahamu,kama mambo tunayolalamikia yanapatiwa ufumbuzi au S/kali inashughulika nayo vipi.
Wezi hawabembelezwi DART ni kichaka cha wezi hata hasiye na akili anaweza kuona jinsi tiketi zinavyokatwa ni upigaji mtupu hata Waitara alishawai kuongelea hilo swala ila akaishia juu juu hakuna action iliyochukuliwa.
Kongole PM
Majaliwa nomaHahahahahahaha hii huitwa like father like son
Dah! Hii safi sana, uzalendo 100%Tungekuwa serious; Nyumbu ilitakiwa iwe ndio supplier and maintainer wa mabasi ya mwendokasi. Tungekuwa tumekuza uchumi wa ndani; ajira kwa watanzania; na kuongeza uwezo wa teknolojia.
Tunawaza tu kuagiza kutoka nje; hatuwazi ku-innovate na kuwa na vya kwetu no matter how ugly they might be, but gradually will be improved to modern ones!
Tunarudi kule kule. Haya mambo si ya kuulizana jukwaani. Angemwita yeye na viongozi wake ili wakae waone tatizo liko wapi. Kama ni uongozi lingeonekana tu.
Na kama ni serikali ingeonekana tu maana Meneja angeweza kusema kweli yake bila kuonekana kuwa anamdhalilisha WM hadharani. Inabidi viongozi wakuu wabadilike.
Amandla...
Ndiyo nchi yetu inavyo endaKuna jambo lina tengenezwa. Time will tell. Kuna mtu kesha kamata mshiko wa kumpa mtu tenda. Soin tutasikia kuna kampuni imepewa tenda ya kukusanya mapato. Amri toka juu...
🤣🤣🤣Haya bana Aggrey MwanriFukuza yote haya mazembe yasiyojua nini wanafanya, mabasi yanakufa na hata tickets hawawezi kukatisha..fukuza yote haya then sukuma ndani
🤣🤣🤣 Nchi yetu hiiSisi wabongo ndio mabingwa wa kuharibu...
Bado na SGR kama uendeshaji akipewa mbongo tutarudi kule kule kama hizo BRT...