#COVID19 Waziri Mkuu: Chanjo ipo anayetaka akachome

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,017
9,885
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa miaka miwili waislamu wameshindwa kwenda kuhiji kwa kuwa walioruhusiwa ni wanaotoka kwenye nchi zinazofuata taratibu zote za kudhibiti maambukizi

Aidha amesema baadhi ya wafanya biashara na wenye ndugu nje ya nchi wamekuwa wakipata changamoto ya kuwatembelea kwa kuwa nchi zinataka watu waliochanja

Kwasababu hiyo nchi imeleta chanjo kila mwenye uhitaji aweze kuchoma ili kupata huduma nje ya nchi ikiwemo kuhiji
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa miaka miwili waislamu wameshindwa kwenda kuhiji kwa kuwa walioruhusiwa ni wanaotoka kwenye nchi zinazofuata taratibu zote za kudhibiti maambukizi

Aidha amesema baadhi ya wafanya biashara na wenye ndugu nje ya nchi wamekuwa wakipata changamoto ya kuwatembelea kwa kuwa nchi zinataka watu waliochanja

Kwasababu hiyo nchi imeleta chanjo kila mwenye uhitaji aweze kuchoma ili kupata huduma nje ya nchi ikiwemo kuhiji

Serikali hii hii ilisema chanjo ni hadi Desemba:


Ziko wapi chanjo hizo tunaozitaka tukachanjwe?

No wonder huyu bwana alisema mwendazake alikuwa busy akichapa kazi.
 
B51893FE-C8E0-454A-960B-C2EADC65B8A8.jpeg

Hatutaki!
 
Aje na tamko juu ya TOZO ZA MIAMALA..
Hayo chanjo ni hiyari sisi wa Nanjilinji, hatujui kwa walio mijini.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa miaka miwili waislamu wameshindwa kwenda kuhiji kwa kuwa walioruhusiwa ni wanaotoka kwenye nchi zinazofuata taratibu zote za kudhibiti maambukizi

Aidha amesema baadhi ya wafanya biashara na wenye ndugu nje ya nchi wamekuwa wakipata changamoto ya kuwatembelea kwa kuwa nchi zinataka watu waliochanja

Kwasababu hiyo nchi imeleta chanjo kila mwenye uhitaji aweze kuchoma ili kupata huduma nje ya nchi ikiwemo kuhiji
Sasa si watangaze rasmi ijulikane na taratibu gani zinafuatwa ndio mtu aipate hiyo chanjo..
PM la ovyo sana hilo.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa miaka miwili waislamu wameshindwa kwenda kuhiji kwa kuwa walioruhusiwa ni wanaotoka kwenye nchi zinazofuata taratibu zote za kudhibiti maambukizi

Aidha amesema baadhi ya wafanya biashara na wenye ndugu nje ya nchi wamekuwa wakipata changamoto ya kuwatembelea kwa kuwa nchi zinataka watu waliochanja

Kwasababu hiyo nchi imeleta chanjo kila mwenye uhitaji aweze kuchoma ili kupata huduma nje ya nchi ikiwemo kuhiji
Niliona uzi humu ukisema Mama anaaema chanjo inakuja December
 
Mbona hajatuonyesha akichoma kwa TV kama alivyofanya Joe Biden, tusilishane matango pori...
 
Ufaransa serikali inalazimisha wananchi wao kuchoma chanjo ya covid19,huku sasa matopeni unasikia eti ni hiyari aisee....mwisho wa siku utasikia ni lazima kama hautaki hamia burundi,semeni ni lazima watu wajue moja.
 
Back
Top Bottom