Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Ni breaking news ya radio one stereo.
Dereva wake ajeruhiwa, pamoja na meneja wa TTCL kanda ya ziwa.
Hali ya waziri mwenyewe haijatajwa kama amejeruhiwa ama yuko salama.
Ajali hiyo imetokea mkoani Geita wakati gari iliyombeba waziri Mbarawa ilipogongwa na basi lililokuwa linatokea mkoani Kagera kwenda Mwanza.
Msafara wake ulikuwa unaelekea mkoani Kagera ambapo waziri alikuwa anakwenda kukagua mkongo wa Taifa.
Dereva wake ajeruhiwa, pamoja na meneja wa TTCL kanda ya ziwa.
Hali ya waziri mwenyewe haijatajwa kama amejeruhiwa ama yuko salama.
Ajali hiyo imetokea mkoani Geita wakati gari iliyombeba waziri Mbarawa ilipogongwa na basi lililokuwa linatokea mkoani Kagera kwenda Mwanza.
Msafara wake ulikuwa unaelekea mkoani Kagera ambapo waziri alikuwa anakwenda kukagua mkongo wa Taifa.