Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,738
hawana ujanja huo.......
Clouds wanabroadacast live online?
hawana ujanja huo.......
Clouds wanabroadacast live online?
Dada mmoja anauliza kwa simu kuhusu Masha alivyoongelea kuhusu Albino BBC. Ngoja ajibu.
hawana ujanja huo.......
hawatoi namba hewani ya watu kupiga?
Bado la ID. Nitakupa hapa hapa ninasikiliza. Si unajua asubuhi wateja hamna hapa dukani.
sasa hao watu wanapiga namba simu wanajuaje namba?
Zamani ilikuwa 0784884884 ila sidhani kama inatumika maana inategemea na nani ni mdhamini wa kipindi cha muda huo ndo inatumika.
Jaribu lakini.
Hawajatoa. Wali record watu jana.
Mwanakijiji,
Bongo radio si bado ipo.Achana na mambo ya kisanii..Omba appointment uje umhoji bwana!
I believe in KLH NEWS.Mie niko tayari kusikiliza..Muulizeni je yule kishtobe mpya wa Mengi alikuwa demu wake..Swali flani la kizushi
Hawajatoa. Wali record watu jana.
Mwanakijiji Twende chembaz kidogo kwenye PM.
Gerald ndo anambana na swali la Geneva, ameuliza kuwa mpaka chumba kimetajwa alipokutana na viongozi wa SAGEM.
Amekanusha. Na anatoa uthibitisho wa Passport yake kuonyesha tarehe kuwa hakuwa huko hizo tarehe hizo. Anasema ameingia Geneva tarehe 5 na sio tarehe moja.
Anadai alikutana na viongozi wa SAGEM walipokuja kulalamika kwake na sio GENEVA, na sio kampuni ya SAGEM pekee yake ndo walilalamika.
My take:
Waandishi wanatakiwa kuwa makini nadhani wamekosea tarehe tu. Masha kawapiga BAO!
Wamekosea mpaka hotel. Dah! IPP wamepotea. Jamaa yupo FIT!
Anadai alikutana na viongozi wa SAGEM walipokuja kulalamika kwake na sio GENEVA, na sio kampuni ya SAGEM pekee yake ndo walilalamika.
My take:
Waandishi wanatakiwa kuwa makini nadhani wamekosea tarehe tu. Masha kawapiga BAO!
Wamekosea mpaka hotel. Dah! IPP wamepotea. Jamaa yupo FIT!
Juhudi hizo za kujitakasa zimeanza. Lakini namwaminia sana Gerald pale Power Breakfast.