Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

- Sasa akisema kwamba yeye hakujua kwamba hii kampuni imewahi kuhusika mna rushwa huko nyuma, na kwamba angejua mapema asingeikubali then what? Sasa hapa unahamisha soo kwa ubalozi wetu Abija wkamba wao ndio hawakumtaarifu waziri au serikali yetu kwamba ile kampuni ina utata, lakini kama kuna usahidi waziri alifahamishwa mapema lakini hakusikia then kweli, lakini waziri tayari ameshaenda kupata barua toka ubalozi wa Nigeria, kwmaba sagem wako safi sasa mkuu huoni kwamba hapo kuna a weak ishu hata kabla ya kumuuliza?

- Knowing all the facts za hii kesi sasa hivi ni kwamba kumefanyika papara katika kuifuatilia hii ishu, as the results wahusika walishituka mapema na kuanza ku-cover their backs, barua za siri zilizokuwa zina-leak walikuwa ni wao in the control we lost this one, tena big time kwa sababu the bigger ishu tayari ameshaipangua, sasa eti hii ya Sagem kuwa na historia ya rushwa ndio itambana, hapana I am not that naive kuamini hayo ya sagem na rushwa kuwa ni ishu.

FMES,

Hiyo si issue kwa sababu Tanzania watu hawafuatilii vitu tu na hatuna high standards na zero tolerance.

Ama sivyo watu wangem-Tom Daschle tu. In law and public service, ignorance is no defense, unatakiwa kujua.kama unamtetea mtu unatakiwa kumjua kwamba ni safi, kama anakuja kuonekana ananuka rushwa, watu wakisema kakupa rushwa ndiyo maana unamtetea kuwabishia inakuwa kazi.

Kama nilivyosema mwanzao, rushwa siyo tu isitendeke, bali pia ionekane kutotendeka.Sasa hapa Waziri hata kama rushwa haikutendeka anawapa watu sababu kufikiri kwamba imetendeka.
 
- Mkuu unless taifa halina sheria, maana Obama hakujua kwamba gavana aliyekua impeached majuzi ni corrupt, sasa haimfanyi Obama kuwa corrupt kama yule gavana,

- Again kumbuka kuwa Tom-Daschle, amewekwa pembeni kwa makosa ya kutolipa tax, lakini secreteary wa Treasury amepewa kazi pamoja na kwamba hakulipa tax kama Daschle, kwa hiyo hoja ya rushwa ya kampuni ya Nigeria ni weak kama waziri akibitisha kwamba hajui na hakuwa na habari mapema, kama Obama alivyosema kwamba hakujua kwamba gavana ni corrupt na wananchi wakakubali.
 
Swala la rushwa ya Nigeria liko valid sana katika kesi ya Tanzania. Ikiwa inaonekana kwamba Waziri Masha anaenda "out of his way" kuwakingia kifua SAGEM, bila kufuata utaratibu, kunaweza kunuswa harufu ya upendeleo/ rushwa.

Si SAGEM pekee, na nisingependa kuandika kireeeefu...

Kuna clues chache naweza kuwapa hapa.

Masha asidhani anaweza kudai flani anamchukia kama anavyoelekea kufanya na kutu-fool watanzania.

Najua wapo ambao watapingana nami lakini namwacha Masha aendelee kidogo kisha tutaleta nyeti zake hapa.

Hawa kina Lowassa na Rostam wanaompa kiburi wanamdanganya na yeye kama mwanasheria mchezo wanaotaka kuufanya ati kuitia hasara serikali yetu ni mbaya sana na nadhani ni wakati wa Rais kuamka, sipatikani kwa kuwapa undani wa issue hii kwa undani lakini kama serikali yetu imeshtuka iangalie kwa mapana sehemu hizi:

Kwenda kwa Masha huko Dubai ni kushughulikia deal lake na jamaa wa Giesecke & Devrient Fze ambapo baadae akaenda Uswiss ambapo ana jamaa yake ambaye najua ni hatari SANA ajulikanaye kama Philippe Jaccard.

Serikali pia itume watu wake (wanaoaminika) wajaribu kuufuatilia ushirika baina ya Masha, Rostam, Lowassa na Jaccard.

Mbaya zaidi kampuni nyingine ya IRIS Corporation Berhad ya Malaysia ina deal na Masha kwa karibu. Kuna ndugu wa karibu anayefanya kazi na kampuni hiyo na Masha ha-deal nao directly.

Nilichofanya ni kutoa clue tu, kazi kwa wenye uwezo wa kufuatilia clue hizi.
 
From ThisDay
ThisDay

WE all know politicians are humans and all humans are bound to make mistakes -- it is in our nature as mere mortals. The opposite side to this view is that we humans also have the capacity to forgive fellow humans if a genuine apology is made.

We make this statement in connection with current allegations made against Home Affairs Minister, Lawrence Masha.

If those making accusations against the minister have substance in what they say -- that the minister met executives of the Swiss company, Sagem Securite, in a hotel in that country -- then Masha needs to consider humility as a possible escape route.

We do not have concrete evidence to pin down the minister in this comment but have reasonable trust in those making these accusations. It is from this standpoint that we urge Masha to consider meekness in handling this affair.

There is a common ground where lawyers and journalists meet, and that is the respect for truth and honesty. We know Masha to be a learned brother in Law, and wish to remind him to safeguard any remaining integrity he may have by distancing himself from shame if he knows he met this company in a hotel.

The respect for truth and honesty forces a gentleman to admit mistakes. While this humbling admission may look on the surface to be a weakness, the wise know that admission to do wrong builds a person to very, very high heights in the world of morality.

The opposition political party Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) has accused Masha of interfering in the tender process for provision of Tanzania national ID cards. The party claims to have ’’enough credible evidence about him having indeed interfered with (the) tendering process.’’ They want him to resign forthwith, or else the political party will take up the matter with the citizens of this country.

Records in Parliament, where this issue erupted, in a recent session, show that most allegations made by this party are usually substantial. Minister Masha knows the truth in as far as this issue is concerned.

If there is any grain of truth at all in these allegations, covering up won’t help. A possible escape route for the sake of protecting his own integrity, that of the Government and the respectability of the Ministry of Home Affairs, is to tell the truth.

Minister, there is not much you can lose by admitting to error and even to step down. Humility is a virtue minister Masha!
 
Vichekesho vitupu. Mbona jamaa wanang'ang'ania Masha akubali madudu ambayo hakuyafanya? Katika hali kama ilivyo sasa ni muhimu ajieleze mahala popote ambapo atasikika. Tusubiri hiyo kesho.

Kuhusu Sagem na Nigeria, balozi mwenyewe wa Nigeria anahakikisha kuwa hivi sasa Jamaa wanakumba mi contract kibao huko. Na Mi contract ya Nigeria siyo kama ya hapa Bongo. Ni mabilioni ya Dola. Hapa Bongo, vijisenti kidogo tu vya ID maneno chungu nzima. Toeni huo ushahidi basi tujue moja.
 
Vichekesho vitupu. Mbona jamaa wanang'ang'ania Masha akubali madudu ambayo hakuyafanya? Katika hali kama ilivyo sasa ni muhimu ajieleze mahala popote ambapo atasikika. Tusubiri hiyo kesho.

Kuhusu Sagem na Nigeria, balozi mwenyewe wa Nigeria anahakikisha kuwa hivi sasa Jamaa wanakumba mi contract kibao huko. Na Mi contract ya Nigeria siyo kama ya hapa Bongo. Ni mabilioni ya Dola. Hapa Bongo, vijisenti kidogo tu vya ID maneno chungu nzima. Toeni huo ushahidi basi tujue moja.

Wewe subiri tuuu... papara ni ya nini?? Ngojeni... Unamkumbuka marehemu Shaabani Robert (RIP)??? Alisema wakati umefika kwa miti kusema mawe kujibu na wanyama kuwa watu. Ndio huu sasa... wewe na Masha wako...
 
Mh should think twice! unless....ngoja tuangalie haka kamchezo as I know at the end there should b a looser an LM must loose!!!! mtaniambia!
 
Wewe subiri tuuu... papara ni ya nini?? Ngojeni... Unamkumbuka marehemu Shaabani Robert (RIP)??? Alisema wakati umefika kwa miti kusema mawe kujibu na wanyama kuwa watu. Ndio huu sasa... wewe na Masha wako...

Siku ukileta ushahidi na nikaukubali, usiwe na wasiwasi. Nitakukaribisha chai Movenpick ili tuonane ana kwa ana na tupeane mikono. Sharti lake ni moja tu. Unipe muda nisije nikangoja milele!!
 
Washauri wa Masha wangemwambia aache huu mchezo wakujiexpose kwenye media kama anataka kusurvive muda mrefu kwenye local politics. Masha anajua, na jamaa zake wanajua the whole story, na hata mkuu wa nyumba anajua mess yote sema kamezea "kishkaji"... Sitegemei Clouds FM wambane Masha, Joe ni bonge la opportunist na mtu wa kujiposition kwa wenye power(kama wafanyabiashara wengi). Masha atapewa well crafted leading questions za kujaribu kumclear na mess... Na ata shine!

Anachosahau, ni kuwa kwa Scandal ya Richmond, Saga ilikua inaenda almost hivihivi. Alianza Dr W. Slaa kutaka hoja binafsi bungeni, Sitta akaipiga chini... Kina EL wakatangaza ushindi. Walipokosea kina EL wakaanza kampeni za kujisafisha kwa nguvu. Akawaita PCCB wakampa a clean report on Richmond. Hivyo vyombo vya habari vikawa ndio usiseme na ndege yake inayopaa, Kina Serukamba ndo wakawa kila mchango wao bungeni lazima wamfagilie PM,...Kumbe hawajui watanzania wanasamehe lakini wanachukizwa sana kufanywa wajinga.... Masha atulie achape kazi, watu wataona penye results. Lakini akizidi kuwafanya watanzania wajinga, he will only have himself to blame. Wahenga walisema, kuchamba kwingi matokeo yake........
 
Vichekesho vitupu. Mbona jamaa wanang'ang'ania Masha akubali madudu ambayo hakuyafanya? Katika hali kama ilivyo sasa ni muhimu ajieleze mahala popote ambapo atasikika. Tusubiri hiyo kesho.

Kuhusu Sagem na Nigeria, balozi mwenyewe wa Nigeria anahakikisha kuwa hivi sasa Jamaa wanakumba mi contract kibao huko. Na Mi contract ya Nigeria siyo kama ya hapa Bongo. Ni mabilioni ya Dola. Hapa Bongo, vijisenti kidogo tu vya ID maneno chungu nzima. Toeni huo ushahidi basi tujue moja.


TK unafanya kazi ya uwakili IMMA? naona unafanya kila liwezekanalo kumtetea boss wako....achia nature ichukue its course ukweli hatufichika milele bana.....
 
- hapana I am not that naive kuamini hayo ya sagem na rushwa kuwa ni ishu.

Mkuu unauachambuzi makini sana ila wakati mwingine unatumia nguvu sana kuliko busara kutetea hoja zako!! Siamini kama hii kauli imetoka kwako. Huoni kabisa SAGEM kuhusika na rushwa ni tatizo kupata tender ya Mamilioni Tanzania kupitia mgongo wa waziri Kijana na mwanasheria mahiri? nadhani kamanda umepotoka kidogo......
 
TK unafanya kazi ya uwakili IMMA? naona unafanya kila liwezekanalo kumtetea boss wako....achia nature ichukue its course ukweli hatufichika milele bana.....
huoni kajisajili lini?
...hili la clouds msilitegemee kabisaaaa.....pj au GH hawezi kukubali kutia kitumbua chake mchanga kwa kuuliza maswali ya KiJf JF huku kusaga kamkalia pembeni rafiki yake asiadhirike......msitegemee kitu
 


1. Mkuu unauachambuzi makini sana ila wakati mwingine unatumia nguvu sana kuliko busara kutetea hoja zako!!

2. Siamini kama hii kauli imetoka kwako.

3. Huoni kabisa SAGEM kuhusika na rushwa ni tatizo kupata tender ya Mamilioni Tanzania kupitia mgongo wa waziri Kijana na mwanasheria mahiri? nadhani kamanda umepotoka kidogo......

- Anayepotoka hapa ni wewe ambaye huna usahidi wa unachokisema, Sagem kama ina rushwa au haina wewe unajua mbona huweki ushahidi hapa?

- Inachosha kuongelea ushahidi hewa, lete ushahidi wa Sagem kuwa na rushwa na uhakika wkamba waziri alijua mapema, otherwise ni waste of time na kumpa free media kwa ajili ya kujitayarisha kwake na urais.
 
huoni kajisajili lini?
...hili la clouds msilitegemee kabisaaaa.....pj au GH hawezi kukubali kutia kitumbua chake mchanga kwa kuuliza maswali ya KiJf JF huku kusaga kamkalia pembeni rafiki yake asiadhirike......msitegemee kitu

Nimekusoma shemu wangu wa kuchonga...😱😱
 
- Anayepotoka hapa ni wewe ambaye huna usahidi wa unachokisema, Sagem kama ina rushwa au haina wewe unajua mbona huweki ushahidi hapa?

Kamanda wangu!

Google is very powerful am confident ukijaribu kuweka key word corruption + sagem utapata hits kibao...I have done that.... hebu tujadiliane kiungwana kwa hili hebu soma hapa, uje na issue ingine hahahahahah ...



_39686613_idcard203.jpg



Nigeria ministers on bribe charge

Identity cards were finally introduced earlier this year
Three former ministers and two officials have been charged with corruption in connection with a $214m contract to produce identity cards.

The BBC's Mannir Dan-Ali in the capital, Abuja, says this case is being seen as a test of the government's pledge to stamp out corruption.

Nigeria is regularly named as one of the world most corrupt countries.

In a packed courtroom, the men pleaded not guilty to charges that they sought bribes from the French firm, Sagem.

Former Internal Affairs Ministers Sunday Afolabi and Mahammed Shatta and former Labour Minister Hussain Akwanga denied 16 charges that they had sought bribes worth some $2m, along with two senior officials.

Mr Akwanga was sacked earlier this month.

Reuters news agency reports that the local representative of Sagem failed to appear in court.

The Sagem charges are the highest-profile case yet brought by the Independent Corrupt Practices Commission (ICPC), set up by President Olusegun Obasanjo three years ago.

It has yet to secure the conviction of a senior official.

My Take



SAGEM is both corrupt and incompetent company, juhudi za Mh Lau Masha hapa kuwapa tender sisi wenye akili tuanajua nini kilikuwa kinafuata

Masanilo
 
The Sagem charges are the highest-profile case yet brought by the Independent Corrupt Practices Commission (ICPC), set up by President Olusegun Obasanjo three years ago.

It has yet to secure the conviction of a senior official.

- Mkuu wangu unasema huu ni ushahidi wa kumfukuza kazi waziri wetu, ulioutoa google? Unasema sasa jamhuri yetu ianze kutumia ushahidi wa google kwa ajili ya sheria zetu? Are you serious au unatania bro?
 
- Mkuu wangu unasema huu ni ushahidi wa kumfukuza kazi waziri wetu, ulioutoa google? Unasema sasa jamhuri yetu ianze kutumia ushahidi wa google kwa ajili ya sheria zetu? Are you serious au unatania bro?

Kamanda

Hapo nakuonyesha jinsi SAGEM walivyo na kashfa ya rushwa huko Nigeria, na sehemu nyingi duniani. Mzee kama huwa hutumii any search engine kutafuta habari basi tuko sayari mbili tofauti hasa kwenye huu utandawazi.

Sagem company has a the track record in corrupting government officials in Africa, Ghana na Nigeria mifano ipo!!!. Sasa juhudi za waziri kijana hapa kuingilia tender zinajustify harufu ya rushwa. Walichokifanya SAGEM Nigeria ndicho walichokuwa wanakifanya Tanzania kupitia kwa Masha kaka!!! Thats why we cast doubt on the integrity and transparency of this mheshimiwa on our National interest.

Kibaya zaidi, hawa SAGEM wameprove wako very inefficiency kwenye utendaji wao wa kazi mfano
In Germany, a system created by SAGEM to pick fingerprints of criminals could not do so, though the fingerprints were in national crime database. · In South Africa, there were several system rejections. · In Malaysia, SAGEM's incompetence showed in technical problems, and mixing up identities, fingerprints and personal data. · In Honduras, South America, criminals were able to duplicate identity cards SAGEM made for Hondurans.

Sina nia mbaya na Lau akijiudhulu ama akikomaa sintoshangaa ndivyo tulivyo na siasa za kutowajibika. Atajijengea heshima sana kwake na kwenye chama chake iwapo ataona kuwa alipotoka ana kumrahisishia kazi raisi kwa kujiuzulu.

Tupo pamoja mkuuu....

Respect

M.A.S.A.N.I.L.O
 
Back
Top Bottom