Waziri Makamba: Tutaweka mchanganyiko wa Umeme wa Maji, Gesi, Upepo, Jadidifu na hata Nyuklia kwenye Gridi ya Taifa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,137
Waziri wa Nishati January Makamba amesema wanakusudia kuweka mchanganyiko wa uhakika wa Umeme kwenye Gridi ya Taifa.

Makamba amevitaja vyanzo mbalimbali vitakavyozalisha umeme huo kuwa ni Maji, Gesi, Jadidifu, Upepo na Just.

Waziri Makamba amesema hata chanzo cha Nyuklia kinaweza kutumika kama tutataka kwa sababu Uranium tunayo nchini.

Waziri alikuwa akihojiwa na Mtangazaji Benjamin Mzinga katika kipindi cha Dakila 45 ITV.
 
TOKA MAKTABA :

8 March 2014
Mh. Edward Lowassa akitembelea bwawa la mtera na TANESCO kuzungumzia mgao wa umeme

Edward Lowassa, Prof. Mwandosya , Stephen Wassira na mawaziri wengine watoa kauli kuhusu tatizo la kina cha maji kupungua, mgao wa umeme, utunzaji mazingira na vyanzo vya maji pamoja na ulazima wa kupanua hifadhi za misitu ujumuishe na hifadhi vyanzo vya maji .
 
Back
Top Bottom