johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Waziri wa Nishati January Makamba amesema serikali inataka iwe na Mchanganyiko sahihi wa vyanzo mbalimbali vya Umeme kwenye Gridi ya Taifa
Lengo ni kwamba chanzo kimoja kikitatizika kingine kinaokoa jahazi mfano pakiwepo ukame wa mvua
Makamba amevitaja vyanzo hivyo kuwa ni pamoja na Maji, Gesi Upepo na Joto ardhi
Source Star tv
Lengo ni kwamba chanzo kimoja kikitatizika kingine kinaokoa jahazi mfano pakiwepo ukame wa mvua
Makamba amevitaja vyanzo hivyo kuwa ni pamoja na Maji, Gesi Upepo na Joto ardhi
Source Star tv