Waziri Magufuli apata PhD

Hongera sana baba Pombe kutoka mwalimu sengerema boys had PhD si kazi rahisi.Ni wenye moyo tu ndo wanapata PhD za ukweli.
Hongera sana Ngosha.
 
Magufuli anajua anachokifanya. Hongera sana. Hata hivi amechelewa sana, angeweza kuipata kitambo tu. Mtanzania halisi huyu.


Leka
 
Dr. magufuli jiunge hapa JF ili tuimarishe jamii yetu kimawazo na kupena mbinu za kuendeleza nchi yetu TZ.
 
Kama ni kweli huyu waziri ambaye yuko busy wakati wote ndiye anayepewa hii Ph.D, wengine inatushangaza.

Kwa yeyote aliyesoma kufikia kiwango cha Ph.D atakubaliana na mimi kuwa hupati Ph.D, tena ya Chemistry, on a party time basis na kwa muda mfupi.



Kabla ya kuendelea na huu mkumbo wa kumpongeza huyu mheshimiwa, ningependa kujua kuwa, je huyu mkuu;
  1. Ameanza lini hiyo program yake ya Ph.D?
  2. Research yake inahusu nini?
  3. Ameifanya lini na wakati gani hiyo research yake ukitilia maanani yeye ni waziri na mtu wamihangaiko?
  4. Ni nani ma-supervisor wake?
  5. Ame-publish paper ngapi na lini?
  6. Ame-present paper/research yake lini na mara ngapi?
  7. Kama alikuwa mwanafunzi wa Ph.D, nani alikuwa Waziri?
Ph.D halali hufanyiwa kazi kubwa na sio kama Bachelor au Masters ambapo coursework na vi-test tu vinaweza kutumika kumpa mtu hizo degree. Ph.D ni tofauti, lazima mtu afanye utafiti na kuandika vitu ambavyo havijaandikwa na mtu mwingine yeyote.

Watu hulala na kuishi lab kwa ajili ya Ph.D, sasa sijui huyu Mheshimiwa ni lini alilala Lab na hapo hapo kutimiza kazi yake ya uwaziri.


UDSM mnatutia aibu sasa.

Rugemalira wa IPTL alinunua degree ya kwanza, sasa Ph.D nazo pia hazifanyiwi kazi? Hii ni aibu kubwa sana.
 
Kama ni kweli huyu waziri ambaye yuko busy wakati wote ndiye anayepewa hii Ph.D, wengine inatushangaza.

Kwa yeyote aliyesoma kufikia kiwango cha Ph.D atakubaliana na mimi kuwa hupati Ph.D, tena ya Chemistry, on a party time basis na kwa muda mfupi.




Kabla ya kuendelea na huu mkumbo wa kumpongeza huyu mheshimiwa, ningependa kujua kuwa, je huyu mkuu;
  1. Ameanza lini hiyo program yake ya Ph.D?
  2. Research yake inahusu nini?
  3. Ameifanya lini na wakati gani hiyo research yake ukitilia maanani yeye ni waziri na mtu wamihangaiko?
  4. Ni nani ma-supervisor wake?
  5. Ame-publish paper ngapi na lini?
  6. Ame-present paper/research yake lini na mara ngapi?
  7. Kama alikuwa mwanafunzi wa Ph.D, nani alikuwa Waziri?
Ph.D halali hufanyiwa kazi kubwa na sio kama Bachelor au Masters ambapo coursework na vi-test tu vinaweza kutumika kumpa mtu hizo degree. Ph.D ni tofauti, lazima mtu afanye utafiti na kuandika vitu ambavyo havijaandikwa na mtu mwingine yeyote.

Watu hulala na kuishi lab kwa ajili ya Ph.D, sasa sijui huyu Mheshimiwa ni lini alilala Lab na hapo hapo kutimiza kazi yake ya uwaziri.


UDSM mnatutia aibu sasa.

Rugemalira wa IPTL alinunua degree ya kwanza, sasa Ph.D nazo pia hazifanyiwi kazi? Hii ni aibu kubwa sana.

maFISIadi (mafisadi) yashaanza kutia timu sasa. kumbuka siku ina masaa 24, kuna wengine wanachukua MBA kwa kusoma kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 2 usiku kwa siku. inamshinda nini yeye kuingia lab saa 2 mpaka saa saba usiku!!!? haya ndo matatizo ya kutumia 0.001% ya ubongo wako kwa kufikiri, ubongo si kama sabuni kwamba ukitumia basi itaisha!? mijitu ya kukariri utaijua tu
 
maFISIadi (mafisadi) yashaanza kutia timu sasa. kumbuka siku ina masaa 24, kuna wengine wanachukua MBA kwa kusoma kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 2 usiku kwa siku. inamshinda nini yeye kuingia lab saa 2 mpaka saa saba usiku!!!? haya ndo matatizo ya kutumia 0.001% ya ubongo wako kwa kufikiri, ubongo si kama sabuni kwamba ukitumia basi itaisha!? mijitu ya kukariri utaijua tu

BabaBabuu,
Huu wimbo wa Mafisadi/Ufisadi naona sasa unawafanya watu wengine wawe wapumbavu wa kufikiri na sasa hata wa kusikiliza.

Sidhani kama umeshawahi kufanya Ph.D maana kwanza naona unafikiri Ph.D ni kufundishwa kama MBA. Doctorate haipatikani hivyo, lazima uipotezee masaa mengi kwa siku, kusoma vitabu, majarida, kufanya experiments, presentations na hata kufundisha na ni siku kadhaa kwa wiki kama sio kila siku. Ph.D unahangaika na vitu usivyovijua mpaka upate ufumbuzi wake. Ndio maana Ph.D halisi hazitolewi kirahisi.

MBA unaweza kuipata kwa kujisomea tu waliyoandika wengine na kujibu maswali ya test/mitihani. Sana sana utaandika riport za mambo ambayo ni ya kawaida. Unaweza ukapata MBA hata kwa miezi sita tu na za online ndio itategemea tu nani anakusaidia.

Tusikubali kudanganywa na watu wanaoibaka elimu yetu kutokana na nguvu zao za kifedha/kisiasa. Anayetaka degree lazima aifanyie kazi ili utendaji wake wa aliyoyasomea ulingane na elimu yake.

Mliopo UDSM tupeni data za hii Ph.D ya huyu mkuu.
 
BabaBabuu,
Huu wimbo wa Mafisadi/Ufisadi naona sasa unawafanya watu wengine wawe wapumbavu wa kufikiri na sasa hata wa kusikiliza.

Sidhani kama umeshawahi kufanya Ph.D maana kwanza naona unafikiri Ph.D ni kufundishwa kama MBA. Doctorate haipatikani hivyo, lazima uipotezee masaa mengi kwa siku, kusoma vitabu, majarida, kufanya experiments, presentations na hata kufundisha na ni siku kadhaa kwa wiki kama sio kila siku. Ph.D unahangaika na vitu usivyovijua mpaka upate ufumbuzi wake. Ndio maana Ph.D halisi hazitolewi kirahisi.

MBA unaweza kuipata kwa kujisomea tu waliyoandika wengine na kujibu maswali ya test/mitihani. Sana sana utaandika riport za mambo ambayo ni ya kawaida. Unaweza ukapata MBA hata kwa miezi sita tu na za online ndio itategemea tu nani anakusaidia.

Tusikubali kudanganywa na watu wanaoibaka elimu yetu kutokana na nguvu zao za kifedha/kisiasa. Anayetaka degree lazima aifanyie kazi ili utendaji wake wa aliyoyasomea ulingane na elimu yake.

Mliopo UDSM tupeni data za hii Ph.D ya huyu mkuu.

Hiyo picha yako? Mbona umeamua kujiita KUBWA JINGA? Au bado una usongo na ile PhD yako ya........ iliyokubwaga kule Dodoma
 
Lakini mimi nataka kujua amesoma lini?au hiyo wanampa kwasababu ya uchakarikaji wake katika kazi? hongera sana...............
 
pamoja na madhaifu yake ... jamaa ni mtendaji mzuri sana

kudoz john pombe magufuli!
 
BabaBabuu,
Huu wimbo wa Mafisadi/Ufisadi naona sasa unawafanya watu wengine wawe wapumbavu wa kufikiri na sasa hata wa kusikiliza.

Sidhani kama umeshawahi kufanya Ph.D maana kwanza naona unafikiri Ph.D ni kufundishwa kama MBA. Doctorate haipatikani hivyo, lazima uipotezee masaa mengi kwa siku, kusoma vitabu, majarida, kufanya experiments, presentations na hata kufundisha na ni siku kadhaa kwa wiki kama sio kila siku. Ph.D unahangaika na vitu usivyovijua mpaka upate ufumbuzi wake. Ndio maana Ph.D halisi hazitolewi kirahisi.

MBA unaweza kuipata kwa kujisomea tu waliyoandika wengine na kujibu maswali ya test/mitihani. Sana sana utaandika riport za mambo ambayo ni ya kawaida. Unaweza ukapata MBA hata kwa miezi sita tu na za online ndio itategemea tu nani anakusaidia.

Tusikubali kudanganywa na watu wanaoibaka elimu yetu kutokana na nguvu zao za kifedha/kisiasa. Anayetaka degree lazima aifanyie kazi ili utendaji wake wa aliyoyasomea ulingane na elimu yake.

Mliopo UDSM tupeni data za hii Ph.D ya huyu mkuu.

Hahahahahah unantia AIBU kwa kweli.....

Mbona umejump kwenye conclusion mzee...

Unajua uwezo wa kiakili na perfomance tunatofautiana?

kuhusu maudhurio mimi nlikua pale mlimani for 2years alikuepo every

weekend unakaa nae Lab pale chemistry dept, lunch mnaenda wote caft

2 na tunatoka tunamwacha Lab.

Aliekua mmoja wa wasimamizi wake ni Prof. Nkunya... Nafkiri unaujua

weledi wa huyo bwana.

Labda nikutoe wasiwasi kaka, magufuli ni kichwa cha ukweli niamini mimi

maprof wa pale chemistry walikua wakimzungumzia ki ufundi zaidi.

research yake ya phd ilihusu maganda ya korosho kuweza kutumika

kuondoa kutu, n it was successfull very impressing.

KUWA NA AMANI, JAMAA NI WA UKWELI NO DOUBT!
 
He is the one of the toughest guy in Tz we are proud of you Magufuli big up you are real mzalendo kwa kusoma bongo na kufundishwa na ma- recturel wa bongo. Tunawajua kwa mizengwe yao kama wamekupa PhD you real deserve it.
 
hongera Dr. Magufuli. mambo kimya kimya kama mapenzi ya paka unashtukia watoto tu. big up mzee
...Na kweli mazee!! kuna siku jamaa alistukia paka wanamegana ilibidi apige kelele akajaza watu sio pole pole. PhD huenda jamaa alikuwa anafanyia tuition kwenye mjengo kule!!!
 
john pombe magufuli a.k.a hard beer.......mwache apate alitumikie taifa labda atakuwa zaidi ya alivyokuwa kwenye utendaji wake makini wa kazi.....ila inaweza kuwa tishio kwa walioko juu wanaoshauri mtu angoje chini sasa kama yeye kaamua kupanda na akaongeza kiwango chake cha utendaji kazi inaweza kuwa changamoto kubwa kwa wakubwa.....ila isije ikawa kujua kidogo ni bora kuliko kujua sana.............
 
Back
Top Bottom