Bravo John Pombe Maghufuli,
That's Y I admire science,scientists ambao hawaja siyasika(hawajaharibiwa na politiki) hawana longolongo terms/vocabularies za kuwa yeyusha wana inji,ni straight forward hitting the point na kuchapa mzigo as instructed + maarifa yao.
Viongozi wa juu wengi wa China ni engineers,pale ku instruct tuu,halafu ukizingatia chinese wenyewe ni kama robots basi wana respond tuu,,veery smooth.
Anyway,,,vandugu hakuna short-cuts,tule misuli...I mena tupige book,,,tena btn the lines,,,wengi tumeathirika na kudesa,kwa hiyo mtu hasomi hadi kuwe na paper which means akishamaliza versity tu na kuanza kazi basi na kusoma tena basi,,,unafanyaje kazi bila kuji update????,,natarajia hili haliwakuti ma daktari(watabibu) maana italeta shida.