Waziri Magufuli apata PhD

Waziri Magufuli apata PhD

Wakati Bado Hajaitwa Mzilankende,Jiwe, Chuma, Ngosha


Anavaa Suit Zinazofunika Mikono Vidole Havionekani
 
Hahahahahah unantia AIBU kwa kweli.....

Mbona umejump kwenye conclusion mzee...

Unajua uwezo wa kiakili na perfomance tunatofautiana?

kuhusu maudhurio mimi nlikua pale mlimani for 2years alikuepo every

weekend unakaa nae Lab pale chemistry dept, lunch mnaenda wote caft

2 na tunatoka tunamwacha Lab.

Aliekua mmoja wa wasimamizi wake ni Prof. Nkunya... Nafkiri unaujua

weledi wa huyo bwana.

Labda nikutoe wasiwasi kaka, magufuli ni kichwa cha ukweli niamini mimi

maprof wa pale chemistry walikua wakimzungumzia ki ufundi zaidi.

research yake ya phd ilihusu maganda ya korosho kuweza kutumika

kuondoa kutu, n it was successfull very impressing.

KUWA NA AMANI, JAMAA NI WA UKWELI NO DOUBT!
Huu ubumvuzi wake hauwezi kutumika kuuza ili dunia uendeleza na matokeo yaonekane?
 
Ph D ya Magufuli ni ya ukweli wala sipotezi muda wangu kumaliza buttons kuijadili....Dr.John Pombe Magufuli ....
Ila mkuu ulikuja kutrend sana aisee, japo ulimsakama kama nini. Sijui mlipishana wapi.

Mwisho wa siku haya maisha tu, daah.
 
Back
Top Bottom