Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,080
- 743
Watu wengi hapa JF wamemsifu sana Magufuli kwa kupata Phd hapo UDSM.
Kwa hiyo Mhe Nchimbi akipata Phd toka Mzumbe say,tushishangae sana.Naona kuna hypocricy hapa ,ni sawa kigogo kupata Phd Udsm lakini kuna watu watachallenge kigogo kupata Phd toka Mzumbe.
Thread yangu ni obectivity ya Phd ya Magufuli.labda mnaomjua zaidi huyu Mhe mtudokezee :
1.any standard Phd toka top class university ni 3 yrs for full time,na 5-6 yr for
for part time.Tunasikia Magufuli alichukua 3 yrs kumaliza tunaassume,alikuwa full time.Wote tunajua kipindi hiki alikuwa waziri !full time maana yake mwaka wa kwanza darasani,miaka 2 ni research na kupresent papers mbali mbali,au kuwa Tutorial assistant.
2.tunasikia supervise wake aliuwa classmate wake.je hapa kuna uhalali?
kwa sababu ni waizri mnategemea nani angesema ana walakini na research yake?
Hii trend imeanza kwa mawaziri kufanya Phd vyuoni!Kama Nchimbi na wenzake
wakipata Phd za Mzumbe watu wa UDSM msilalamike,maana trend imeanzishwa
na akina Magufuli.Miaka yote alikuwa wapi,mpaka awe waziri ndio awe na Phd?
Au ni kuwa sambamba na akina nagu,makogoro,matayo,dialo etc
wewe unachanganya mambo kinachomtofautisha Dr Magufuli na hao wa Mzumbe ni reseach yake aliyofanya ( alifanya utafiti na akagundua kitu ambacho kilikuwa hakijulikani) hapa ndo tunamsifia, ukumbuke uvumbuzi wake ni sifa hata kwa UDSM, sasa nakushangaa unapolinganisha PHD za Mzumbe na ya huyu bwana kwanza walimu kibao wa Mzumbe walikuwa na PHD feki naamini walichukuliwa hatua na TCU, wengine phd zao zilikuwa recategorized,Kwa nchi kama TZ usomi tunaouangalia ni ule ambao unaweza badilisha maisha ya mtanzania maskini, kumbuka finding ya dr magufuli tayari imeshaongeza value ya Korosho, mkulima ataweza uza korosho pamoja na maganda yake, kitu ambacho kilikuwa hakijulikani kabisa, sasa ndo unalinganisha na hizo za kina nchimbi na nagu ambazo hata title zao hazijulikani na hazina impact yeyote katika jamii???TUBADILIKE WABONGO NA TUACHE WIVU