Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,271
na wote wa hivo wanaenda kwenye siasa.
Duh siku hizi karibia kila mwanasiasa ni Dr. au Prof.
Duh siku hizi karibia kila mwanasiasa ni Dr. au Prof.
Kama ni kweli huyu waziri ambaye yuko busy wakati wote ndiye anayepewa hii Ph.D, wengine inatushangaza.
Kwa yeyote aliyesoma kufikia kiwango cha Ph.D atakubaliana na mimi kuwa hupati Ph.D, tena ya Chemistry, on a party time basis na kwa muda mfupi.
Kabla ya kuendelea na huu mkumbo wa kumpongeza huyu mheshimiwa, ningependa kujua kuwa, je huyu mkuu;
Ph.D halali hufanyiwa kazi kubwa na sio kama Bachelor au Masters ambapo coursework na vi-test tu vinaweza kutumika kumpa mtu hizo degree. Ph.D ni tofauti, lazima mtu afanye utafiti na kuandika vitu ambavyo havijaandikwa na mtu mwingine yeyote.
- Ameanza lini hiyo program yake ya Ph.D?
- Research yake inahusu nini?
- Ameifanya lini na wakati gani hiyo research yake ukitilia maanani yeye ni waziri na mtu wamihangaiko?
- Ni nani ma-supervisor wake?
- Ame-publish paper ngapi na lini?
- Ame-present paper/research yake lini na mara ngapi?
- Kama alikuwa mwanafunzi wa Ph.D, nani alikuwa Waziri?
Watu hulala na kuishi lab kwa ajili ya Ph.D, sasa sijui huyu Mheshimiwa ni lini alilala Lab na hapo hapo kutimiza kazi yake ya uwaziri.
UDSM mnatutia aibu sasa.
Rugemalira wa IPTL alinunua degree ya kwanza, sasa Ph.D nazo pia hazifanyiwi kazi? Hii ni aibu kubwa sana.
kwa mujibu wa gazeti la mtanzania, john magufuli leo anatarajia kutunukiwa phd ya kemia katika mahafali ya 39 ya udsm
Wallah una lako jambo si burefumbo mfumbie mjinga, mwerevu huling'avua! Issue yako imekaa kisiasa zaidi! Ndiyo hivyo tena...keshapata PhD yake!
sawa!`Nimejaribu kutoa 2 reasons kufafanua kama kuna objectivity.Pape na Kigogo hamjajibu hoja kama serving Minister mwenye majukumu makubwa akamaliza Phd within 3 yrs,na kuwa supervised na former classmate wake!sijasema UDSM ni kama PWU au Washington unis!!!
Kigogo umekuwa kama dikteta
well notedWallah una lako jambo si bure
Hivi kama mtu hufundishi, kwa nini unajiita Dr?
Hivi ataanza kuandika vitabu na takataka nyingine ili kui-keep hiyo Dr au inabaki jina tu?
Hizi Tittle sasa zimekuwa za kwenda kuchumia uyoga msituni (bunsolele)...
Kwani lazima ufundishe ndio uitwe Dr?Acha kutuvuta kamba wewe!Ungesema Prof. sawa!Jamaa kapata zake PhD kwenye chuo kinachotambulika.PhD ni lazima uitetee sio tu kuandika.There is a board ambayo lazima upitie kwa maswali zaidi ya 3hrs.Mtu akipata PhD kihalali mpeni sifa zake.And YES,hata kama sifundishi PhD ni title!
Nawasilisha!
Kama ni kweli huyu waziri ambaye yuko busy wakati wote ndiye anayepewa hii Ph.D, wengine inatushangaza.
Kwa yeyote aliyesoma kufikia kiwango cha Ph.D atakubaliana na mimi kuwa hupati Ph.D, tena ya Chemistry, on a party time basis na kwa muda mfupi.
Kabla ya kuendelea na huu mkumbo wa kumpongeza huyu mheshimiwa, ningependa kujua kuwa, je huyu mkuu;Ph.D halali hufanyiwa kazi kubwa na sio kama Bachelor au Masters ambapo coursework na vi-test tu vinaweza kutumika kumpa mtu hizo degree. Ph.D ni tofauti, lazima mtu afanye utafiti na kuandika vitu ambavyo havijaandikwa na mtu mwingine yeyote.
- Ameanza lini hiyo program yake ya Ph.D?
- Research yake inahusu nini?
- Ameifanya lini na wakati gani hiyo research yake ukitilia maanani yeye ni waziri na mtu wamihangaiko?
- Ni nani ma-supervisor wake?
- Ame-publish paper ngapi na lini?
- Ame-present paper/research yake lini na mara ngapi?
- Kama alikuwa mwanafunzi wa Ph.D, nani alikuwa Waziri?
Watu hulala na kuishi lab kwa ajili ya Ph.D, sasa sijui huyu Mheshimiwa ni lini alilala Lab na hapo hapo kutimiza kazi yake ya uwaziri.
UDSM mnatutia aibu sasa.
Rugemalira wa IPTL alinunua degree ya kwanza, sasa Ph.D nazo pia hazifanyiwi kazi? Hii ni aibu kubwa sana.