- Thread starter
- #21
Mapori
Ndiyo nyie mnaporaga ardhi za watu vijijini. Kama haifanyii kazi wewe inakuhusu nini?
Ndiyo nyie mnaporaga ardhi za watu vijijini. Kama haifanyii kazi wewe inakuhusu nini?
Assuming hawawezi kulipa kodi.. what if wanaweza na wanalipa kodi ila hawaendelzi!?Serikali imeshaanza kutekeleza Mpango wa upimaji na urasimishaji wa maeneo yote ya DSM,
Hiyo inawapa changamoto wamiliki wa ardhi kulipia viwanja kila Mwaka ambavyo haviingizi kipato chochote mwishowe wataamua kuviuza wenyewe!
Zoezi la upimaji na urasimishaji likishakamilika watu wenye maeneo makubwa watalazimika kuuza sababu haitakuwa na faida kumiliki eneo tupu halafu ulilipie kodi serikalini kila Mwaka.
Watauza tu ni swala la muda.
Hii kwa sasa imepatiwa ufumbuzi... Ni ngumu sana kuuza kiwanja mara mbili.. maana taarifa zinatunzwa kwenye mfumo.. na viwanja vya serikali vinauzwa kupitia mfumo.Unadhani hayajui hayo? Anajua sana! Mfano Viwanja vya Mradi Kwembe, Wilaya ya Ubungo ni ufisadi mtupu hawezi kuvigusa miaka 800! Watu wameuziwa viwanja wawili mpaka watatu sehemu moja, hakuna miundo mbinu ya barabara, wananchi wanachonga wajuavyo, umeme na maji vinapitishwa hadi kati ya kiwanja cha mtu! Mheshimiwa analijua hili!
Inachukua wanapewa maeneo mengine nje ya mji huko msata au mlandiziSerikali haidhulumu wananchi.
Acha porojo wewe
Kodi ya ardhi ni kiasi gani?Serikali imeshaanza kutekeleza Mpango wa upimaji na urasimishaji wa maeneo yote ya DSM,
Hiyo inawapa changamoto wamiliki wa ardhi kulipia viwanja kila Mwaka ambavyo haviingizi kipato chochote mwishowe wataamua kuviuza wenyewe!
Zoezi la upimaji na urasimishaji likishakamilika watu wenye maeneo makubwa watalazimika kuuza sababu haitakuwa na faida kumiliki eneo tupu halafu ulilipie kodi serikalini kila Mwaka.
Watauza tu ni swala la muda.
Nampongeza kwa upimaji ila kwa mambo mengine wizara ya ardhi bado ina changamoto nyingiUnadhani hayajui hayo? Anajua sana! Mfano Viwanja vya Mradi Kwembe, Wilaya ya Ubungo ni ufisadi mtupu hawezi kuvigusa miaka 800! Watu wameuziwa viwanja wawili mpaka watatu sehemu moja, hakuna miundo mbinu ya barabara, wananchi wanachonga wajuavyo, umeme na maji vinapitishwa hadi kati ya kiwanja cha mtu! Mheshimiwa analijua hili!
Watu wanauziana kienyeji wakati mwenye hati ni mwingineHii kwa sasa imepatiwa ufumbuzi... Ni ngumu sana kuuza kiwanja mara mbili.. maana taarifa zinatunzwa kwenye mfumo.. na viwanja vya serikali vinauzwa kupitia mfumo.
Hiyo ni elimu duni.. Kuuziana kienyeji ardhi ni ujinga wa mnunuaji..Watu wanauziana kienyeji wakati mwenye hati ni mwingine
Wizara ya ardhi haiwezi kupanga na kupima na kusimamia utekelezaji wa mipango ya uendelezaji miji.. ukiwa na watu tena wasomi wananunua ardhi zisizopimwa na kujenga kiholela..Nampongeza kwa upimaji ila kwa mambo mengine wizara ya ardhi bado ina changamoto nyingi
Njoo usafishe walau majirani zako tukujue mnachelewesha sana maendeleo ukijenga mtaa unachangamka sasa wewe unabanana Manzese huko badala ya kuja kujenga plot yakoNdiyo nyie mnaporaga ardhi za watu vijijini. Kama haifanyii kazi wewe inakuhusu nini?
Hela za Mr kuku zimepelekwa wapi?Serikali haidhulumu wananchi.
Acha porojo wewe
Wewe mwenye hati kwanini huendelezi mpaka wanakuja kuuziana ,hujaweka chochote hata kupanda miti umeshindwaWatu wanauziana kienyeji wakati mwenye hati ni mwingine
Watajenga awamu hii ikiisha
Kama hamupimi maeneo watu wafanyeje, kipindi cha nyuma tu hapo mlikuwa mnapima viwanja mnaviuza vyote kwa mafisadi wachache na vingine kugawana nyie na ndugu zenu ili baadaye mviuze kwa bei kubwa, halafu unakuja hapa kuongea pumba hizi!Wizara ya ardhi haiwezi kupanga na kupima na kusimamia utekelezaji wa mipango ya uendelezaji miji.. ukiwa na watu tena wasomi wananunua ardhi zisizopimwa na kujenga kiholela..
Watanzania hawana Adabu... Na kuishi kwenye modern towns or cities kunahitaji Discipline.
Kama hamupimi maeneo watu wafanyeje, kipindi cha nyuma tu hapo mlikuwa mnapima viwanja mnaviuza vyote kwa mafisadi wachache na vingine kugawana nyie na ndugu zenu ili baadaye mviuze kwa bei kubwa, halafu unakuja hapa kuongea pumba hizi!