chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Mkuu sikukupangia wala sina uwezo wa kukupangia, mimi ni mtu ninaeamini haki ya mtu kuwa na uwezo wa kuamua na kuchagua anachokitaka.Tatizo unatumia hasira,
Hakuna dhambi kwangu kuipenda ccm
Na sidhani kama ni haki yako kunipangia cha kujibu mkuu
Hilo hapo juu ni swali....,mimi mwenzako sina chama ninachokipenda,mimi napenda sera za chama sio chama,,,kwa maana hiyo naweza kubadilika nikaipa kura yangu chama chochote nichoona kina sera nzuri kwa wakati husika...