obc

  1. Mpinzire

    Kampuni ya OBC ikiwazuia wananchi wa Loliondo kupata maji na malisho

    Hii Habari ililipotiwa na gazeti la mwananchi mwaka 2017, haari ilikuwa na kichwa cha habari "Kigwangalla auwasha moto Loliondo" SUNDAY OCTOBER 29 2017 Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ololosokwani, Dk Kigwangalla alisema mgogoro wa Loliondo uliodumu kwa zaidi ya miaka 26 sasa utapatiwa...
  2. Nyankurungu2020

    Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

    Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi? Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati Magufuli haya masuala hayakuibuka? Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema. Mkuu wa nchi anashiriki...
  3. Jembe Jembe

    Wafanyakazi 10 wa Mfalme wa OBC, Loliondo wapanda kizimbani

    Wafanyakazi 10 raia wa kigeni wenye asili ya Asia wa kasri la mfalme wa Abu dhabi inayosimamiwa na Kampuni ya Ortelo Business Coparation(OBC) iliyopo eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro,Mkoani hapa wamepandishwa kizimbani kwa kosa la kufanyakazi nchini kinyume cha sheria za ajira kwa wageni ...
  4. Mau Mau

    Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018

    Waziri wa Maliasili asili na utalii Mh. Kigwangala akiwa katika ziara yake wilayani Ngorongoro pamoja na kuagiza kuvifuta vibali vyote vya uwindaji nchi nzima ikiwamo vya kampuni ya ORTELLO BUSINESS CORPORATION (OBC) ya Loliondo, ameagiza kampuni hiyo ya MWARABU kujiandaa kurudi walikotokea...
  5. Invisible

    JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama na ardhi yetu tukichekelea!

    Sijui kama mnanisoma....! Vyombo vya Usalama kwa sasa ni Dhaifu Rais wa sasa ni Dhaifu Bunge Dhaifu kabisa! Watanzania ni Dhaifu. Nchi kama haina Amiri Jeshi Mkuu.
Back
Top Bottom