kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,115
- 16,024
kabisa mkuu!Utabiri wako ushatimia hata kabla ya wiki
kabisa mkuu!Utabiri wako ushatimia hata kabla ya wiki
Sijaelewa kuhus ugawaji wa vitalu, wanataka vigawiwe kwa wazawa tu au ?
au ndio anawabeep ili wamletee bahasha yake ?[/QUOT
Hebu rudia ulichosema!!!
Ivi watz wote tukiziunga mkono jitihada za serkal, tutafanikiwa fasta, bt serkal inatupigania while kunawatu wengine kazi yao ni kupinga na kuupotosha ukweli.
Ni kweli kabisa hawa waarabu wa Loliondo ni washenzi sana.Acha tu turudi!! Kwanza hawa OBC waliteketeza kijiji kizima kwa madai kuwa eti hilo eneo la kijiji ambacho kimekuwepo hapo kwa makumi ya miaka kipo ndani ya eneo lao! Tena Kigwa angetupa ruhusa tukawaondoe wenyewe,wametuulia ndugu zetu wengi sana hawa hayawani! Mwarabu ni shetani kabisa!!!!
Hivi Kigwangala ashafanikisha nini katika matamko yake yote akiwa Naibu Waziri?
BAK cjawah ona unapongeza ila hapa tuKwa tamko hili lazima apongezwe sasa tuone kama utekelezaji wake utakamilika haraka iwezekanavyo.
Haki kwanza! Uchama baadaye!BAK cjawah ona unapongeza ila hapa tu
Itakuwa unatokea Loliondo
Usichanganye mambo kwa kukosa uelewa wa unachokizungumzia. Unajionyesha kuwa na upungufu mkubwa.hawa watu wamepata vibari kutoka kwenye serikali kufukuza tu na wana hati miliki sio kitu kidogo , tunarudi kwenye azimio la Arusha inavyoonekana
Wanasiasa(?) wa aina hiyo ni hasara kwa taifa...tujikumbushe kuhusu Mh.Kigwangalla.