Alifungishwa na safety belt siyo?Huyo mwarabu ndo tunaambiwa huku JF kuwa hilo eneo lake ana mtandao binafsi wa simu?
Na hii ishu ndo iliondoa uhai wa Stan Katabaro?
pasco
Alifungishwa na safety belt siyo?Huyo mwarabu ndo tunaambiwa huku JF kuwa hilo eneo lake ana mtandao binafsi wa simu?
Na hii ishu ndo iliondoa uhai wa Stan Katabaro?
pasco
Satirically or seriously?A
Amemfutilia mbali Dr.Mwaka
Waziri sidhani kma huo uwezo anao zaidi ya bunge ndio wanaweza kuwaondoa hpo,hao jamaa wananguvu sana na kuna magari yao wanatumia namba za j.....Alimshughulikia tapeli Mwaka mpaka kahama nchi !
Ajitahidi kutumia watalaamu, apate mikataba aisome aone fursa na hasara then aamueInategemea na mikataba iliyopita na sheria! busara ni muhimu
Huyo mwarabu ndo tunaambiwa huku JF kuwa hilo eneo lake ana mtandao binafsi wa simu?
Na hii ishu ndo iliondoa uhai wa Stan Katabaro?
pasco
Majitu ya aina yako ni ya kupiga risasi hadharani. Wewe unajua uharamia wanaofanya hao mabedui wenzako? Ndugu zangu Wamasai wanapoteza maisha kila kukicha katika ardhi yetu ya Asili.hawa watu wamepata vibari kutoka kwenye serikali kufukuza tu na wana hati miliki sio kitu kidogo , tunarudi kwenye azimio la Arusha inavyoonekana
Majitu ya aina yako ni ya kupiga risasi hadharani. Wewe unajua uharamia wanaofanya hao mabedui wenzako? Ndugu zangu Wamasai wanapoteza maisha kila kukicha katika ardhi yetu ya Asili.
Pathetic swine!
JPM hawajui waliokula hizo pesa. Labda makada wa zamani. Yeye ananyoosha tu. Waarabu washavuna imetoshaHuo mfupa hata Babako JPM hauwezi
Tafuta muda usome historia ya hao waarabu wa loliondo mpaka kuuziwa hilo eneo ktk kipindi ambacho Mzee Ruksa alikua madarakani.JPM hawajui waliokula hizo pesa. Labda makada wa zamani. Yeye ananyoosha tu. Waarabu washavuna imetosha
Watauziwaje Ardhi ya Tanzania? Kina Mgumia wako wapi?Tafuta muda usome historia ya hao waarabu wa loliondo mpaka kuuziwa hilo eneo ktk kipindi ambacho Mzee Ruksa alikua madarakani.
Unaifahamu lakini historia ya huyo mfalme wa UAE na loliondo mkuu?Watauziwaje Ardhi ya Tanzania? Kina Mgumia wako wapi?
Nashangaa tu...hiyo mikataba ambayo Karl Maxi alifanya na Chief MangunguUnaifahamu lakini historia ya huyo mfalme wa UAE na loliondo mkuu?
ahah kwl tukifny pupa tumeishaMikataba mingi ni mibovu, lakini ipo kisheria, tuivunje kisheria. Hata hivo, maliasili kumejaa nyama, na mifupa kwa ajili ya fisi. Wengi uzalendo uliwashinda. Nahisi hajatupiwa pande lake.