Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Ametoa kauli hiyo wakati wa Kikao na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi,Maafisa na Askari kilichofanyika jijini Dodoma.
“Kila Taasisi ina msemaji wake,hata katika familia kuna msemaji sasa inakuaje hapa nchini kila mtu akijisikia kusema anaongea tu," alisema Waziri Katambi.