Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

Hapana, Wakati wa Tanganyika hayakuwepo hayo. Madhila ya nchi hii yalianza baada ya kuwa Tanzania na to be precise yameanza baada ya kutangazwa na Nyerere Azimio la Arusha mwaka 1967.

OK. Tuseme labda madhila yalianza baada ya kuwa na Azimio la Arusha (unahitaji kunichambulia kwa kina); kisha unieleze vizuri ni mazuri yapi yametokana na azimio la Zanzibar (lililopiga chini misingi ya azimio la Arusha).
1. Je, kwako jambo zuri na jema na ambalo linakupa usingizi murua ni viongozi kuwa na hisa kwenye makampuni ya kibepari na majumba (siku hizi MAKASRI) ya kupanga?
2. Je, ni kweli kwamba huoni athari za mambo haya ya zanzibar? Ni kweli kwamba hujamsikia mzee wa vijesenti? Ni kweli kwamba hukumsikia mzee wa richmond, aliyehujumu uzalishali wa umeme ili kila siku iendayo kwa Mungu awe anatengeneza zaidi ya 150m? Akaunti za vigogo (japo vigogo vya udongo maana hawatadumu) huko uswisi wewe hujasikia? Mahoteli makubwa makubwa ndani na nje ya nchi kutokana na fedha chafu, za wizi, dhuluma na damu za watanzania hujui? Ndiyo mambo yanayokupa usingizi murua dada Faidha Foxy?
3. Unachukizwa na kauli ya kwamba IKULU SI PANGO LA WANYANG'ANYI? ama KUTOKUCHANGANYA BIASHARA NA UONGOZI? Lakini ndivyo ilivyo, unataka ama hutaki! Yasipozingatiwa haya madhila yatazidi kuongezeka. Na yanapoongezeka utambue ya kwamba UKOMBOZI upo karibu! Mjusi ukimfukuza sana hugeuka kuwa NYOKA! Siyo yangu haya, ni historia tu, na historia hujirudia. Kuna watu humu nchini itafika wakati hata ndevu hawatanyoa! Maana watakuwa wanawindwa kama wanyama! Ukipata bahati ya kukutana na Gadaffi atakupa mkanda mzuri. Ama wadhani viongozi wetu wametutenda mambo mazuri kuliko Gadaffi?
 
We ndo pimbi kweli, kwa akili yako na unavyomfaham migiro unadhani anaweza kuwa na poor perfomance?Migiro ni mchapa kazi Jk alimhitaji aje kumsaidia huku..uliza EA presidenamts walivyokwazika baada ya migiro kuachia ngazi UN, alikuwa ni msaada mkubwa sana kwa nchi za Afrika na sana sana East Africa JK alimuomba migoro arudi na UN hawana hila wanakupa mtu wako ukimtaka

Sijui unamidanganya nani asiyejua ukweli haya jidanganye mwenyewe!..si unaona alivyotoka UN.Usifanye mzaha na UN wala hamna mtu anbaweza kumchuua mtu kule eti mtu wake wkt ni sifa kwa nchi kuwa na mtu kule!..kama hujui mambo ni bora ukanyamaza hutaonekana mjinga!
 
Kwa hiyo? kama ameweka misingi mibovu isijulikane ili ibomolewe, iachwe tu? Wakati wa Nyerere nani alikuwa na Uhuru wa mawazo na nani alikuwa na Uhuru wa kukemea maovu ya utawala wake? thubutu!
Mkuu FAIZA, tatizo kubwa linatokana na baadhi ya wana JF kuwa ignorant katika suala zima la historia ya Taifa letu! We jaribu kuchunguza kwa umakini utakuta wengi wanao pinga pinga walisomeshwa na walimu wa "UPE" katika shule za msingi - hivo nyimbo zao walipokuwa darasani, wanapokumbia mchamchaka, salutation, ngonjera/mashairi - vyote hivyo vilikuwa vina-revolve/focus kwa mtu mmoja tu - huyo ndiye alikuwa anaonekana ni OMINPOTENT!!! Mkuu Faiza ungetegemea kupata matokeo ya aina gani kutoka kwa mindsets za victim wa mixedgrill ya namna hiyo, wengi wao wanaishia kusifia blindly tu bila ya kuhoji. Ukija kwa Watanzania wanaojua historia ya kweli/halisi ya Taifa letu i.e ambao hawasukumwi na ushabeki tu, hao ndio wanaelewa vizuri nini kilijiri katika Serikali ya awamu ya kwanza - si hilo tu, wakumbuke vile vile kwamba upatikanaji wa Uhuru wa taifa letu ulitokana na TEAM work; wengi wao walikuwa wanajitolea na wengine walifungwa na wengine walipoteza ajira zao - haya mambo ya kupotosha UMMA na kutaka kuonyesha as if mapambano yalikuwa ni a SOLO undertaking inapashwa kuwa rectified i.e wahache kupotosha Raia kwa kujaribu kujenga "CULT" ya aina fulani vile - this is not healthy 4 our NATION!!
 
OK. Tuseme labda madhila yalianza baada ya kuwa na Azimio la Arusha (unahitaji kunichambulia kwa kina); kisha unieleze vizuri ni mazuri yapi yametokana na azimio la Zanzibar (lililopiga chini misingi ya azimio la Arusha).
1. Je, kwako jambo zuri na jema na ambalo linakupa usingizi murua ni viongozi kuwa na hisa kwenye makampuni ya kibepari na majumba (siku hizi MAKASRI) ya kupanga?
2. Je, ni kweli kwamba huoni athari za mambo haya ya zanzibar? Ni kweli kwamba hujamsikia mzee wa vijesenti? Ni kweli kwamba hukumsikia mzee wa richmond, aliyehujumu uzalishali wa umeme ili kila siku iendayo kwa Mungu awe anatengeneza zaidi ya 150m? Akaunti za vigogo (japo vigogo vya udongo maana hawatadumu) huko uswisi wewe hujasikia? Mahoteli makubwa makubwa ndani na nje ya nchi kutokana na fedha chafu, za wizi, dhuluma na damu za watanzania hujui? Ndiyo mambo yanayokupa usingizi murua dada Faidha Foxy?
3. Unachukizwa na kauli ya kwamba IKULU SI PANGO LA WANYANG'ANYI? ama KUTOKUCHANGANYA BIASHARA NA UONGOZI? Lakini ndivyo ilivyo, unataka ama hutaki! Yasipozingatiwa haya madhila yatazidi kuongezeka. Na yanapoongezeka utambue ya kwamba UKOMBOZI upo karibu! Mjusi ukimfukuza sana hugeuka kuwa NYOKA! Siyo yangu haya, ni historia tu, na historia hujirudia. Kuna watu humu nchini itafika wakati hata ndevu hawatanyoa! Maana watakuwa wanawindwa kama wanyama! Ukipata bahati ya kukutana na Gadaffi atakupa mkanda mzuri. Ama wadhani viongozi wetu wametutenda mambo mazuri kuliko Gadaffi?


Mkuu Mwangalizi Nakupa TANO Mkuu na siongezi chochote juu ya hoja yako hii Mkuu ila nasubiri Nione majibu ya Huyo Dada Yangu km kweli kakuelewa!
Asante
 
Hivi. Kawambwa na Hawa. Ghsia wanasubiri nini? wako ka msikule hawajui chochote
 
Rais wetu Kikwete ningekuomba usijikubalishe kufanyishwa makosa yale kwa yale,tumeshudia jinsi ya mawaziri wako 4 walivyo kutoka ,lakini huyu Nahoda ni makosa yako yanakukabili wewe na wasaidizi wako ni makosa yakujitakia tena kwa makusudi , Shamsi hana taaluma ya kukufanya kumteuwa kushika nafasi ulizokuwa unamuweka, Tanzania kuna wasomi wangapi wenye taluma na uwezo wa kushika nafasi ulizokuwa unampa Nahoda ?ikiwa serekali yako itaendela kuteuwa watu aina ya kina Nahoda Nchi ipo hatarini kunakamika na historia itatukumbusha .
 
Rais wetu Kikwete ningekuomba usijikubalishe kufanyishwa makosa yale kwa yale,tumeshudia jinsi ya mawaziri wako 4 walivyo kutoka ,lakini huyu Nahoda ni makosa yako yanakukabili wewe na wasaidizi wako ni makosa yakujitakia tena kwa makusudi , Shamsi hana taaluma ya kukufanya kumteuwa kushika nafasi ulizokuwa unamuweka, Tanzania kuna wasomi wangapi wenye taluma na uwezo wa kushika nafasi ulizokuwa unampa Nahoda ?ikiwa serekali yako itaendela kuteuwa watu aina ya kina Nahoda Nchi ipo hatarini kunakamika na historia itatukumbusha .

Mkuu Sonara hoja yako ni nzuri ila wakati mwingngine hivi vichwa vya habari viendane na Mada ndani maake hiyo kichwa cha habari kimenishtua kweli...any way..Katika suala la Uteuzi kwa hawa Mawaziri hata mwenda wazimu anaweza kuteuliwa nakukaa humo Wizarani bila shida yeyote kwani kazi yao kubwa ni kusinzia na kutazama televisheni maofisini na kulazimisha safari mbalimbali zenye posho za ndani na nje ya nchi na kazi zote Mawizarani zinafanywa na Makatibu wa Kuu,Wakuu wa Idara na wakurugenzi.

Nakuhakikishia kwamba Wizara nyingi tu hazihitaji Mawaziri makatibu wakuu tu wangetosha. Kwa nchi yetu zingeweza kuunganishwa tuka baki na wizara kama sita au saba tu.
 
Rais wetu Kikwete ningekuomba usijikubalishe kufanyishwa makosa yale kwa yale,tumeshudia jinsi ya mawaziri wako 4 walivyo kutoka ,lakini huyu Nahoda ni makosa yako yanakukabili wewe na wasaidizi wako ni makosa yakujitakia tena kwa makusudi , Shamsi hana taaluma ya kukufanya kumteuwa kushika nafasi ulizokuwa unamuweka, Tanzania kuna wasomi wangapi wenye taluma na uwezo wa kushika nafasi ulizokuwa unampa Nahoda ?ikiwa serekali yako itaendela kuteuwa watu aina ya kina Nahoda Nchi ipo hatarini kunakamika na historia itatukumbusha .

Tukupe wewe
 
Back
Top Bottom