chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,220
- 20,981
Kidogo nimeshangazwa na habari inayotembea mtandaoni, mtumishi wa wizara ya ardhi anadai kununua ardhi, ardhi ikawa na mgongano na mtu mwingine, je hii ni sababu ya kumsimamisha kazi? Kwamba watumishi wa wizara wakinunua ardhi mitaani, ikawa na mgogoro hata wa mipaka, anasimamishwa kazi?
Kwa nini wasielekezwe mahakamani? Kusimamishwa kazi ni njia ya kumtisha aachie kiwanja? Maana upande wa pili kuna mbunge wa CCM.
Baadae akienda mahakamani kupiinga kusimamishwa kazi, mahakama iseme alipwe mamilioni, unampelekea deni Samia?
Kununua ardhi mitaani huko kama mtu wa kawaida anavyonunua, ikawa na mgogoro, ni kosa la kiutumishi?
Kwa nini wasielekezwe mahakamani? Kusimamishwa kazi ni njia ya kumtisha aachie kiwanja? Maana upande wa pili kuna mbunge wa CCM.
Baadae akienda mahakamani kupiinga kusimamishwa kazi, mahakama iseme alipwe mamilioni, unampelekea deni Samia?
Kununua ardhi mitaani huko kama mtu wa kawaida anavyonunua, ikawa na mgogoro, ni kosa la kiutumishi?