Waziri Jafo apongeza kazi ya NEMC kudhibiti uchafuzi wa mazingira wa kelele, asema baa zilizofungiwa zote zitafunguliwa

BigTall

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
422
1,049

Akizungumza Bungeni leo, Selemani Saidi Jafo ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira amesema Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limefanya kazi nzuri ya kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa njia ya kelele.

Amesema asilimia kubwa ya baa zilizofungiwa zimekiri kufanya makosa na kwenda kinyume na taratibu, ambapo tayari wahusika wamekubali kujirekebisha na zimeshaanza kufunguliwa.

Amesema “Wamekubali utaratibu wa Kiserikali, kwa Dodoma nimepata taarifa imebaki baa moja tu… taasisi yetu ya NEMC imefanya kazi kubwa.”
 
Kufanya kitu lazima kunakuwa na priorities, Hivi waziri anajua ujenzi holela,utiririshaji WA maji machafu mitaani, uchafu Kwenye masoko, biashara za mboga mboga kutandazwa chini ni uchafuzi WA Mazingira kuliko hiyo miziki!? Let's rank priorities
 
Back
Top Bottom