Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa siku saba kwa Kampuni ya Chanzi Limited inayojishughulisha na uzalishaji wa funza kwa ajili ya kutengeneza Chakula cha mifugo, kuhakikisha wanazuia harufu kali inayotokana na shughuli zinazofanyika kiwandani hapo.
Agizo hilo limetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa Sheria - NEMC Dkt. Thobias Mwesiga Richard alipozuru eneo la tukio na kubaini ukiukwaji wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira kwa Kampuni hiyo kushindwa kudhibiti mazingira na kusababisha harufu mbaya inayoleta kero kwa wananchi na kuchafua Mazingira.
Agizo hilo limetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa Sheria - NEMC Dkt. Thobias Mwesiga Richard alipozuru eneo la tukio na kubaini ukiukwaji wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira kwa Kampuni hiyo kushindwa kudhibiti mazingira na kusababisha harufu mbaya inayoleta kero kwa wananchi na kuchafua Mazingira.