#COVID19 Waziri Gwajima: Kanda ya Ziwa, Kilimanjaro kumeathirika zaidi na Corona

Huyu waziri hana Akili sawa sawa.
Taarifa yake imekaa kisiasa badala ya kuakisi uhalisia.

Waziri anapaswa kuja na taarifa yenye takwimu kuhusu wagonjwa na vifo vinavyohusiana na Corona nchi nzima ili tujijue tuko kwenye hali gani.
 
Subiri baada ya siku chache utasikia idadi imepanda zaidi. Mara tutasikia lockdown. Unacheza na new world order
 
Tuendako wapi mama, 'no way out' unamaanisha nini, hata mwendazake aliwahi kusema 'never' kwa hiyo haya maneno yanabaki kuwa misemo tu....
Chanjo haitakwepeka wakati wenzetu wakidhibiti huku kwetu ndo itakuwa kuhangaika sasa
 
Chanjo haitakwepeka wakati wenzetu wakidhibiti huku kwetu ndo itakuwa kuhangaika sasa
Haitakwepeka kivipi mama, unamaanisha itatolewa kwa mtutu wa bunduki.......labda utakuwa ni utawala wa mnyama uliotabiriwa kwenye maandiko ya dini, hakuna kula, hakuna kuuza, hakuna kununua hadi uwe na alama ya mnyama......
 
Duh sawa maana sijashikia mtu fimbo achanje Mimi
 
Haitakwepeka kivipi mama, unamaanisha itatolewa kwa mtutu wa bunduki.......labda utakuwa ni utawala wa mnyama uliotabiriwa kwenye maandiko ya dini, hakuna kula, hakuna kuuza, hakuna kununua hadi uwe na alama ya mnyama......
Itafika tu mahali itakuwa lazima bila hivo huwezi kuwa na access na huduma muhimu za kijamii no need of mtutu wa bunduki siunaona Kuna nchi mpaka uonyeshe kuwa umepatiwa chanjo loh, I think yaliyoandikwa Sasa yanaanza kutimia
 
Itafika tu mahali itakuwa lazima bila hivo huwezi kuwa na access na huduma muhimu za kijamii no need of mtutu wa bunduki siunaona Kuna nchi mpaka uonyeshe kuwa umepatiwa chanjo loh, I think yaliyoandikwa Sasa yanaanza kutimia
Ni kumtegemea Mungu tu, maana ishara nyingi zipo wazi....
 
Mama angu mzazi amefariki kwa gonjwa hili huwa nawashangaa wanao puuza ni hatari zaidi ya hatari anae puuza hajaguswa
Pole sana mkuu. Mimi pia binafsi sijafiwa na ndugu wa karibu lakini nimeona waliofariki na ninaona wanaougua ndio nami nashangaa wanaosema Covid-19 haipo.
 
Huyu waziri hana Akili sawa sawa.
Taarifa yake imekaa kisiasa badala ya kuakisi uhalisia.

Waziri anapaswa kuja na taarifa yenye takwimu kuhusu wagonjwa na vifo vinavyohusiana na Corona nchi nzima ili tujijue tuko kwenye hali gani.

Kuna chawa wa mwendazake wanamshinikiza takwimu zisiwepo.

Wengine hata humu JF wapo wangalipo wanapumua.
 

Labda kama watega kunguru chambo maharage makavu.

Hakuna Lumumba FC anayeunga mkono vita dhidi ya Corona. Mgawanyo kamili uko hivi:



Hatudanganyiki!
 

Kwani huku kuna aliyekufa wakati Corona haijawahi kuwapo.
 
Niko Mwanza mweiz wa tatu sasa.Hiyo 'taharuki" hata sijaiona na maisha yanendelea kama kawaida tu.
Sijui perpetrators wa haya wanafanya kwa faida ya nani kwakweli
Si ndo nasema sasa, huu upuuzi hatuuoni maisha ni kama kawa? Wanatimiza mashart eeh? Kazi ipo
 
Mi sikatai kiviiiile ila nawaza corona gani hii kama inapulizwa? Tangu mwezi wa tatu ilienda likizo miezi mitatu, sasa hivi eti imerudi.anyway tusubiri tukio jingine.pole kwa kufiwa ila sidhani kama ni corona
 
Kauli za kukizana za Wanasayansi zimeletelezea Misimamo tofauti ya Wanasiasa, Viongozi na Jamii yote kwa ujumla wake. Mkanganyiko upo kwenye Tiba , je tahadhari pekee yake inajitosheleza au chonjo ni jawabu? Je nchi iingie kwenye lockdown au maisha yaendelee? Kunapokuwa na taharuki na sintofahamu kama hii kila mtu atakuwa na lake kichwani na ndipo kunatakiwa kiongozi wa kutoa neno la matumaini. Corona ipo na haina Tiba. Chanjo siyo tiba bali ni Kinga . Ni changamoto ya maisha
 
Mi sikatai kiviiiile ila nawaza corona gani hii kama inapulizwa? Tangu mwezi wa tatu ilienda likizo miezi mitatu, sasa hivi eti imerudi.anyway tusubiri tukio jingine.pole kwa kufiwa ila sidhani kama ni corona

Kama hujui maana ya mawimbi, jivinjari ufukweni kujifunza yanavyokuja moja baada ya jingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…