johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,956
- 141,942
Aliyekuwa naibu Waziri wa afya katika Serikali ya awamu ya 5 na ambaye kwa sasa ni waziri wa Tehama Dr. Ndugulile ametunukiwa Tuzo ya umahiri na kupromoti afya na wizara ya afya.
Dr. Ndugulile ndiye aliyetoa tahadhari juu ya kupiga nyungu kienyeji hatua iliyopelekea atumbuliwe.
Jana Askofu Gwajima alimpongeza Dr Ndugulile kwa ujasiri aliouonyesha na kusimamia taaluma hadi akapoteza uwaziri.
Mungu ni mwema wakati wote!
Dr. Ndugulile ndiye aliyetoa tahadhari juu ya kupiga nyungu kienyeji hatua iliyopelekea atumbuliwe.
Jana Askofu Gwajima alimpongeza Dr Ndugulile kwa ujasiri aliouonyesha na kusimamia taaluma hadi akapoteza uwaziri.
Mungu ni mwema wakati wote!