ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,278
- 15,313
Unaweza ukaacha sedan mbugani aiseeeKama una gari kubwa SUV kama RR unapeleka moto tu unanyooka kama hakuna unoko, juzi nimepita siku hivi nilipita nilikuta swala kapigwa baraaa kama una ka sedan