W12 unapata 450hp?Si uchukue VW Phaeton W12, inakupa around 450HP. Hii gari was way ahead its time. Nafikiri ilitoka miaka ya 2000 mwanzoni hadi 2014. Inashare engine na Bentley, ila unapata kwa bei za the people’s car haswa.
Ni mbadala mzuri wa RS6 kama pesa haijatulia bado.
We are poor in marketing.Kuna mtalii aliuliza mbona Tanzania ina vivutio vingi hivi na vingine havipo hata kwenye ramani hatuvioni? Akajibiwa Tanzania ikiamua kutangaza kila kivutio chake ili kiwekwe kwenye ramani ni uchafu!
And I felt it
Hiyo Phaeton unaipata kwa bei chee kabisa! Hivyo siyo mbaya.W12 unapata 450hp?
Matumizi mabaya ya pesa.
Bora ujipinde uchukue 3L ikupe hata 510hp.
Mnanichanganya wazee, hayo majini achieni wazungu msije kuongeza takataka nchini tu!Si uchukue VW Phaeton W12, inakupa around 450HP. Hii gari was way ahead its time. Nafikiri ilitoka miaka ya 2000 mwanzoni hadi 2014. Inashare engine na Bentley, ila unapata kwa bei za the people’s car haswa.
Ni mbadala mzuri wa RS6 kama pesa haijatulia bado.
Duh...Kuna mtalii aliuliza mbona Tanzania ina vivutio vingi hivi na vingine havipo hata kwenye ramani hatuvioni? Akajibiwa Tanzania ikiamua kutangaza kila kivutio chake ili kiwekwe kwenye ramani ni uchafu!
And I felt it
Yeah nakubaliana na wewe hata hivi vichache tulivyo navyo hatujui jinsi ya kuvitangaza. Tunasubiri wazungu wanaokuja wakatutangazie.We are poor in marketing.
Hatujui jinsi ya kujitangaza hata hivyo vichache vinavyofahamika.
Mpaka sasa, Zanzibar ni famous kuliko Tanzania.
Ukiacha na kutangaza vivutio vya utalii, hata Tanzania haifahamiki yenyewe kama yenyewe.
Yani suala la Utalii lipo complex sana kuliko tunavyoandika humu.
Tutembee mkuu kuna vitu hii nchi ambavyo hutakaa ufundishwe kwenye jiografia wala historia ya darasani hadi uzurure ndiyo utavijua. Jiografia na historia ya kweli vipo kwenye utalii.Duh...
Znz inapokea Watalii wangapi kwa mwaka na wanaingiza kiasi gani kwa mwaka?Yeah nakubaliana na wewe hata hivi vichache tulivyo navyo hatujui jinsi ya kuvitangaza. Tunasubiri wazungu wanaokuja wakatutangazie.
Kuna nchi huko dunia ya kwanza raia wake wanajua Mlima Kilimanjaro uko Kenya na Lugha ya Kiswahili asili yake ni Kenya. Na tunaona poa tu.
Zanzibar sasa hivi iko mbali sana kiutalii na usikute watalii wanajua haiko Tanzania. Na hivi wenyewe hawaupendi muungano usikute hawajitangazi kama wako Tanzania.
Niliambiwa huwa wanaweza zidi hadi 500K kwa mwaka na mapato yaweza kufikia hadi 2B US dollars. Sema kuanzia mwaka 2020 covid ilivyoanza idadi ilishuka kama nusu yake hivi.Znz inapokea Watalii wangapi kwa mwaka na wanaingiza kiasi gani kwa mwaka?
Yes..mtu anapindua IST anachanganyikiwa...Hiyo hata chozi likitoka sawa, sio unapindua IST unachanganyikiwa
Kumbe humu tuko na majirani kabisaOhhh
Mungu wa Mbinguni akubariki sana
Asante sana jamani...uje tena na tena..
Upako wa Mungu kupitia mafuta ya akina Anne ukaende na wewe.
Nakuwepo mara moja moja sana.
Bara niliambiwa mambo yakikaa vizuri huwa tunapokea watalii around 2M kwa mwaka na mapato yanaweza kufikia hata 8B USDs so tumewazidi visiwani kama mara nne hiviOkay. Kidogo sana.
madereva wao huwa watata, hua naona hata road ziki kwanguana eeeh! watu wana vimbaaaYes..mtu anapindua IST anachanganyikiwa...
Inategea ameipata vipi.,...mtu kajidunduliza miaka 8, roho lazima iume sana tu..
Hiyo BMW kama ni hivyo ilikuwa speed kali sana, body yake haijafa kabisaaa.. angekuwa Hiroshima hapo sipati pichaaaSimple. Ukiyumba kwenye high speed ukagusa kerb gari inaflip na kupaa kirahisi sana.
Acha tu mkuu, hela jawabu la lila kitu.. hata hizi tunazo ona hazinuniliki kirahisi tukaze kutokana na ndoto zetu..Si uchukue VW Phaeton W12, inakupa around 450HP. Hii gari was way ahead its time. Nafikiri ilitoka miaka ya 2000 mwanzoni hadi 2014. Inashare engine na Bentley, ila unapata kwa bei za the people’s car haswa.
Ni mbadala mzuri wa RS6 kama pesa haijatulia bado.