Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kumbe Mbezi Dar to Msamvu Morogoro inawezekana chini ya masaa mawili bila hata ya kufika 160kmph

SGR itaweza?

View attachment 2080088

Na vituo vyote?
View attachment 2080087
Inawezekana kabisa maana Mbezi to Msamvu ni kama 180kms hivi. Kwahiyo kama ulikuwa unatembea na zaidi ya 100kph kwa muda mrefu inawezekana kufika in less than 2 hours.

Hii nchi sehemu nyingi kinachotuchelewesha kwa asilimia kubwa ni foleni, vibao, tochi na si umbali. Zamani kuna dereva aliwahi toka Dar saa 12 akaingia Mbeya saa 7 na basi la abiria.

Leo hii tunaona haiwezekani tukidhani eti sababu ni umbali. SGR walisema itakuwa inatumia masaa 2 from Dar to Moro na masaa 8 from Dar to Mbeya endapo itakamilika hadi huko.

Kwa sasa tuendelee tu kutilisha mtori nyama zipo danta

Uwe na safari njema mkuu
 
e4a6e389-19dc-4a88-bfa9-87883e5ca0ae.jpg
 
Hivi ni mara ngapi ushaona gari ya mbele yako inaenda upande? Yaani matairi na body vina uelekeo tofauti. Mara nyingi sana nimeona GX100,Brevis,Harrier tako la nyani. Yaani inaendda upande upande. Hivi dereva anakuwa hajui? Gari haimvuti upande mmoja? Gari inayonishangaza nayo ni LC mkonga,naona kama haijanyooka hivi.
ISO M.CodD 9.8ms squared Bavaria Boeing 747 Extrovert
nacheka kwanza...
Unakuta gari inaenda kama fisi...

Kwa hizi gari ndogo nadhani ni mambo ya wheel alignment tu yanakuwa hayajakaa sawa..

Kama imehama kidogo dereva ni ngumu kusanuka...
Japo nilishaendesha gari kama hilo, linakuvuta kulia, ukirudisha linakuvuta kusho,. Ukirudihsa linaenda tena kulia...ila ukishaendesha kama km 10 hivi, unalizoea unapambana na msalaba wako..

Kuna basi niliwahi kusafiri nalo kutoka Masasi mpaka Dar, wakati ule kile kipande cha Nangurukuru hakina lami, nadhani ilikuwa zaidi ya KM 40 za vumbi...

Hilo basi lilikuwa limekata center bolt, yaani mpaka abiria ndani tunaambizana mbona linaenda upande..
Kama sisi abiri ndani tuliona ile hali, chukulia mtu aliyekuwa anaendesha nyuma yetu akikuwa anaona nini...

Maisha haya.
 
Inawezekana kabisa maana Mbezi to Msamvu ni kama 180kms hivi. Kwahiyo kama ulikuwa unatembea na zaidi ya 100kph kwa muda mrefu inawezekana kufika in less than 2 hours.

Hii nchi sehemu nyingi kinachotuchelewesha kwa asilimia kubwa ni foleni, vibao, tochi na si umbali. Zamani kuna dereva aliwahi toka Dar saa 12 akaingia Mbeya saa 7 na basi la abiria.

Leo hii tunaona haiwezekani tukidhani eti sababu ni umbali. SGR walisema itakuwa inatumia masaa 2 from Dar to Moro na masaa 8 from Dar to Mbeya endapo itakamilika hadi huko.

Kwa sasa tuendelee tu kutilisha mtori nyama zipo danta

Uwe na safari njema mkuu
Ukikaza hata lisaa 1:30 unatoboa maana nimeweza kutumia 1:54 kwa mwendo wa kawaida na bado kun afande alinikamata mlandizi akanipotezea kama dakika 5
 
Nimeaanza kuzielewa sana Porche hasa panamera.. ila sijaona hata moja yenye bei ya kinyonge nilienda mahala nikaiona nikasema eeh hizi ndio gari sasa
Porsche Panamera hata Ulaya bado za Moto, unakumbuka kipindi Pierre Emeric Aubeyang wa Arsenal anapohamia kutoka Dortmund alienda London na hii gari yenye decorations za Vito. Mawakala wake wanapoingia walizubaa wakiitazama gari yake na South Africa hizo ni deal sana hata iwe juu ya mawe raia watakuja na pesa kwenye mfuko wa kushoto wa shati.
 
Porsche Panamera hata Ulaya bado za Moto, unakumbuka kipindi Pierre Emeric Aubeyang wa Arsenal anapohamia kutoka Dortmund alienda London na hii gari yenye decorations za Vito. Mawakala wake wanapoingia walizubaa wakiitazama gari yake na South Africa hizo ni deal sana hata iwe juu ya mawe raia watakuja na pesa kwenye mfuko wa kushoto wa shati.
Moto wake sio wa kukaribia kama ni hivyo.. acha tufunge mikono nyuma tuwe mashabiki.. kuipenda hiyo ni dhambi kwa sasa 😂😂😂
 
Moto wake sio wa kukaribia kama ni hivyo.. acha tufunge mikono nyuma tuwe mashabiki.. kuipenda hiyo ni dhambi kwa sasa 😂😂😂
Cheki link hii maboss wa Arsenal walivyokuwa wanashangaa Porsche Panamera ya jamaa wakicheki anatoka Africa.

 
Back
Top Bottom