Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Hiyo ya moto sana mzeee.. hata color yake na namna ilivyo.. huo moto sanaaa kuna Panamera used $ 25,000 sema TRA mtauana 😁😁😁hii chuma Kajala akiingia hatokiCheki link hii maboss wa Arsenal walivyokuwa wanashangaa Porsche Panamera ya jamaa wakicheki anatoka Africa.