Hii petrol station ya wapi?@Saint Anne nimepita asubuhi hapo kutia wese wewe ndio yule sura ya au yule amesuka rasta?View attachment 2085331
Hii petrol station ya wapi?@Saint Anne nimepita asubuhi hapo kutia wese wewe ndio yule sura ya au yule amesuka rasta?View attachment 2085331
Mwishowe naamini jamaa alikwambia “samahani braza” 🤣🤣Hata Mimi nilishuka na kuwaacha tu ila nawaachia na risala kali sana...😂😂😂
Mazee ndizo baraka zenyewe hizo. Hizi material things saa zingine uwa tunazithamini kupita kiasi. Hivyo nyakati zingine ukiamua kutoa sadaka, hakika hata Mungu anazidi kukubariki.Kuna mambo mengine unamuangalia mtu hadi huruma inakujia...Wiki iliyopita nimeenda mahali nikapaki....nikawa napata huduma..
Kuna jamaa akawa amepaki Hiace ya kampuni, ile anaondoka akagonga gari langu akabonyeza gari langu kasehemu kadogo..
Nikamfuata nikakuta ni kijana mwenzangu, nikamuuliza, huna mirrors za kuangalia nyuma..? Akajitetea nisamehe brother mirror ya kushoto imekaa vibaya...
Akaniuliza anipe sh ngapi ili tuyamalize..(nahisi alitegemea nitasema elfu10)
Nikamwambia sitaki hela yako, itakuwa nakuonea wewe lete fundi wako akupe gharama then utengeneze gari..akasema poa...akenda mtaa wa pili akaja na fundi,
Fundi akamwambia hapa naweza kunyoosha ila itabidi hicho kipande chote kirudiwe rangi...ni kakipande tu kadogo...fundi akamuambia jamaa nipe elf 70000....khaa
Jamaa alipaniki, akaanza kulia lia haswaa.....bro nisaidie, hapa kampuni ikijua tayari sina kazi...hiyo 70000 ikawa mtihani .
Nikamueleza nikiyomueleza nikaachana naye..ila alimtoa fundi kidogo za usumbufu...
Yule jamaa hakuamiani kama nimemruhuru aondoke, akaniomba namba, baadae akanipigia akanishukuru tena akasema, sijawahi kukutana na mtu muungwana hivyo..
Malamba mawiliHii petrol station ya wapi?
Dooh natamani siku hata ikitokea bahati mbaya nimegonga gari ya mtu basi awe mwenye mioyo kama yenuKuna mambo mengine unamuangalia mtu hadi huruma inakujia...Wiki iliyopita nimeenda mahali nikapaki....nikawa napata huduma..
Kuna jamaa akawa amepaki Hiace ya kampuni, ile anaondoka akagonga gari langu akabonyeza gari langu kasehemu kadogo..
Nikamfuata nikakuta ni kijana mwenzangu, nikamuuliza, huna mirrors za kuangalia nyuma..? Akajitetea nisamehe brother mirror ya kushoto imekaa vibaya...
Akaniuliza anipe sh ngapi ili tuyamalize..(nahisi alitegemea nitasema elfu10)
Nikamwambia sitaki hela yako, itakuwa nakuonea wewe lete fundi wako akupe gharama then utengeneze gari..akasema poa...akenda mtaa wa pili akaja na fundi,
Fundi akamwambia hapa naweza kunyoosha ila itabidi hicho kipande chote kirudiwe rangi...ni kakipande tu kadogo...fundi akamuambia jamaa nipe elf 70000....khaa
Jamaa alipaniki, akaanza kulia lia haswaa.....bro nisaidie, hapa kampuni ikijua tayari sina kazi...hiyo 70000 ikawa mtihani .
Nikamueleza nikiyomueleza nikaachana naye..ila alimtoa fundi kidogo za usumbufu...
Yule jamaa hakuamiani kama nimemruhuru aondoke, akaniomba namba, baadae akanipigia akanishukuru tena akasema, sijawahi kukutana na mtu muungwana hivyo..
Ni kweli mkuu, maana kuna leo na kesho ..unaweza ukamkazia mtu kamkwaruzo kwa elfu 50, kesho ukajikuta umegonga Range Rover la mtu la mwaka 2019..Mazee ndizo baraka zenyewe hizo. Hizi material things saa zingine uwa tunazithamini kupita kiasi. Hivyo nyakati zingine ukiamua kutoa sadaka, hakika hata Mungu anazidi kukubariki.
Na mara nyingi ukiona mtu ameguswa kidogo huko bara barani akaanza kumshambulia mwenzake kwa makofi au matusi mazito, basi huyo ni limbukeni wa gari au ni limbukeni wa matumizi ya barabara.......Dooh natamani siku hata ikitokea bahati mbaya nimegonga gari ya mtu basi awe mwenye mioyo kama yenu
Huwa tunashuhudia watu wanavyokula makofi mbele za watu kama watoto wadogo si mchezo
Na hata mimi mtu akigonga gari yangu huwa sijuagi kuwaka kuanza kumtukana au kumpiga
Sema majibu yake ndiyo yatadetermine nimchukulie hatua gani maana kuna wale wa "kwenda huko utanifanya nini"
Kuna mtu aliwahi kuvunjiwa ufunguo wa gari lake hivi hivi kisa majibu yake ya shombo na wakati kosa ni lake
Haiwezi kilingana mkuu, ila nimeshtushwa kidogo kuona Subaru Zilivyoicha Toyota...Sasa unafikiri ile midude Yao 5.7L au 6.2L itaingia humo?
Hongera mkuu na jambo la kumshukuru Mungu pia..Binafsi sijawahi kugonga, kugongwa wala kukwanguliwa na mtu.
Naingojea hiyo siku ya tukio.
Haha usikute ndiyo wale aliokuwa anawasemea 9.8ms squared kwamba akipindua IST tu anachanganyikiwa. Sasa mtu kama huyo umkute kajichanga kavuta zake BMW halafu ujichanganye ukamgonge weee huwa wanasahau kabisa kwamba haya mambo ni ya kibinadamu tu na kuna leo na kesho.Na mara nyingi ukiona mtu ameguswa kidogo huko bara barani akaanza kumshambulia mwenzake kwa makofi au matusi mazito, basi huyo ni limbukeni wa gari au ni limbukeni wa matumizi ya barabara.......
Mtu akishatambua kwamba barabarani kuna kukwaruzwa au kukwaruza gari la mtu, kazina awe muelewa...
Kuna athari yoyote?Dom limepiga tetemeko muda huu sio poa
Duuh poleni asee halafu nimeondoka huko janaDom limepiga tetemeko muda huu sio poa
Siwasemi vibaya ila madereva wa IST wamechangamka sana kama wa subaru watata sana..Haha usikute ndiyo wale aliokuwa anawasemea 9.8ms squared kwamba akipindua IST tu anachanganyikiwa. Sasa mtu kama huyo umkute kajichanga kavuta zake BMW halafu ujichanganye ukamgonge weee huwa wanasahau kabisa kwamba haya mambo ni ya kibinadamu tu na kuna leo na kesho.
Kwenda hukoDooh natamani siku hata ikitokea bahati mbaya nimegonga gari ya mtu basi awe mwenye mioyo kama yenu
Huwa tunashuhudia watu wanavyokula makofi mbele za watu kama watoto wadogo si mchezo
Na hata mimi mtu akigonga gari yangu huwa sijuagi kuwaka kuanza kumtukana au kumpiga
Sema majibu yake ndiyo yatadetermine nimchukulie hatua gani maana kuna wale wa "kwenda huko utanifanya nini"
Kuna mtu aliwahi kuvunjiwa ufunguo wa gari lake hivi hivi kisa majibu yake ya shombo na wakati kosa ni lake
Nishawahi ambiwa gari lenyewe la shemeji, hapo kanibonyezea gari upande wa kulia mbele wakati anachomekea. Hapa si mtu anatafuta shari tu.Kwenda huko
Utanifanya nini
Haha bora sisi wa vitz na daihatsu kidogo wastaarabuSiwasemi vibaya ila madereva wa IST wamechangamka sana kama wa subaru watata sana..
☺️☺️☺️☺️ nyie mpo powaa.. nimekuota cheeeHaha bora sisi wa vitz na daihatsu kidogo wastaarabu
Acha tu mkuu hii nchi bhana ndiyo maana nawaelewa sana baadhi wanaopigania kuwa na mamlakaKwenda huko
Utanifanya nini
Umeniotajenyie mpo powaa.. nimekuota cheee